Mje mtushauri vijana wa miaka 25 hadi 40

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkipata fedha pigeni maji kwa kwenda mbele. Mambo ya nyumba na viwanja achaneni navyo, tena vipo siku zote. Biblia inatumbia nyumbani ni mbinguni, hivyo kujenga hapa duniani ni sawa na kujenga njiani.
Aidha, wala tusikubali kuhama nyumbani kwa ajili ya kujitegemea. Yani hizi familia zetu kijana akifikisha miaka 25 tayari wanataka ahame nyumbani akajitegemee. Naona utaratibu huu unakiuka hata vitabu vya dini, Yesu yupo kwa Baba yake zaidi ya miaka elfu 2 iliyopita na maisha unaendelea.
 
pombe ni kwa masikini hata biblia inalitambua hilo

wapeni pombe masikini...
Mkuu kuna pombe hata maskini kijijini kwenu wote wakijiunga hawawezi nunua, biblia ni hadithi tu zenye mkanganyiko , daudi alilewa akacheza na nuhu walilewa pia kina suleiman na kina yesu kwa mujibu wa hiyo hadithi kumbe ni makanjanja tu😁
 
Tokea nilipo jifahamu niliacha kujifananisha na yeyote...Mimi unique kwa hivi hivi nilivyo pesa zitakuja tuuu...!

Sitamani kuwa yeyote yule kwani naamini Kila mwenye pumzi anapambana na vita ya nafasi yake ambayo wengine vita hizi ni za siri awajapenda yeyote ajue.

Ndio linapo kuja ule msemo "Kila mtu anao ukrasa kwenye maisha yake ambao hapendi usomwe na yeyote"😭​
 
Nidhamu ya pesa
Usiishi maisha ya watu wengine ridhika na ulichonacho
Malengo ya muda mrefu yatakusaidia kujua wapi upo na nn ufanye usitak kilakitu leoleo

Starehe sio kitu Cha maana sana ukiniona haziendani na malengoyako acha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…