Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
hapo kujenga watasikia kwa jiraniWakiacha pombe watavuta bangi
hivyo matajiri ni walevi sioUngekuta vijana wa kilokole ni matajiri , wengi wao ni makanjanja tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida yenu ubishi! Tukiwaambiaga mnasema tunawaonea gere sababu mnapendwa na mishangazi!
Tulieni vijana! Tuheshimuni tuwashauri yaliyo mema.
Mnahisi nyie ndio wa kwanza kupitia hizo stage kweli? Au mnadhani nyie ndio mmegundua utamu wa pombe na utamu wa lile tendo? Tumepita humo humo na sisi vijana, tukiwashauri kitu ni kwa kuwa tunakijua! Shida mnaona sisi tumelost kwahiyo hatuwezi waambia kitu.
nzuri hiyoBia tam
Matajiri wanaweza kuwa walevi na maskini wanaweza pia kuwa walevi .hivyo matajiri ni walevi sio
pombe ni kwa masikini hata biblia inalitambua hiloMatajiri wanaweza kuwa walevi na maskini wanaweza pia kuwa walevi .
Mkipata fedha pigeni maji kwa kwenda mbele. Mambo ya nyumba na viwanja achaneni navyo, tena vipo siku zote. Biblia inatumbia nyumbani ni mbinguni, hivyo kujenga hapa duniani ni sawa na kujenga njiani.Habari.
Nimekuja na mada hii kwa wazoefu wa maisha mnaweza kutusaidia sisi vijana wadogo ambao tuko kwenye miaka 23 hadi 40.
Maisha yetu yamekuwa ni ya matarajio mengi sana lakini uhalisia wa hayo matarajio ni tofauti na tunavyofikiria au tulivyoahidi.
Umri umefika tumejikuta tuna wake ,watoto na kazi au vitu vya kawaida ambavyo hatukuwa na mipango navyo labda tuseme tunaona tumefeli .
Tuliwaza kumiliki Nyumba Kali,Gari nzuri ,kuwa na kazi yenye mshahara wa kutosheleza mahitaji maishani na ndugu lakini haijawa hivyo.
Kwa wazoefu wa maisha.
Tunaomba mtushauri kitu gani cha ziada tufanye hili tuweze kufikia lengo la maisha wakuu
Mkuu kuna pombe hata maskini kijijini kwenu wote wakijiunga hawawezi nunua, biblia ni hadithi tu zenye mkanganyiko , daudi alilewa akacheza na nuhu walilewa pia kina suleiman na kina yesu kwa mujibu wa hiyo hadithi kumbe ni makanjanja tu😁pombe ni kwa masikini hata biblia inalitambua hilo
wapeni pombe masikini...
Fafanua inawatesajeWakuu tujiepushe kuzaa watoto na watu hatuna mpango nao maishani, au kama umeoa epuka kuzaa nje ya ndoa.
Iyo kitu naona ma Bro inawatesa sana sahivi