Mjengo mpya wa Diamond ni shidaaa!

Mjengo mpya wa Diamond ni shidaaa!

Ila domo c ndo alianza kumuita zari kima, ndo raha ya kuwa independent , hamisa Hana jeuri ya kumuita domo hivyo , atakula wapi mjini , kodi atalipaje🤣🤣🤣
Zari alijishitukia tu! Kama utakumbuka, Diamond alisema "...siwezi kuacha kuchezeana na wanawake wakati hii ndo kazi yangu!" Akaendelea ndipo akamalizia "...halafu anatokea kima mmoja...!" Akimaanisha anatokea kima mmoja anataka kumpangia!

Sasa ni miezi mingapi ilipita tangu Zari aachane na Diamond na siku Diamond alipoongea ile kauli?

Ukweli ni kwamba kuna makima kibao wanaotaka kumpangia Diamond atembee na nani, amshike na asimshike nani, n.k! Hawa makima ndio aliwalenga lakini Zari akajishitukia kutokana na maneno ya Instagram!
 
Mmh hilo jumba la diamond alilopost huko insta ni balaa, hamisa alikua Ana haki ya kuroga aiseh🤣🤣, hongera bwana chibu, halafu nilisahau kukuwish na Mimi , HAPPY BIRTHDAY [emoji322][emoji323][emoji257]🤣🤣🤣


Mtafanya shutingi sana kwenye majumba ya watu,BOSS wake tu SALAAM hana nyumba ndio kwanza ana mpango wa kujenga nyumba "MBWENI".
 
Zari alijishitukia tu! Kama utakumbuka, Diamond alisema "...siwezi kuacha kuchezeana na wanawake wakati hii ndo kazi yangu!" Akaendelea ndipo akamalizia "...halafu anatokea kima mmoja...!" Akimaanisha anatokea kima mmoja anataka kumpangia!

Sasa ni miezi mingapi ilipita tangu Zari aachane na Diamond na siku Diamond alipoongea ile kauli?

Ukweli ni kwamba kuna makima kibao wanaotaka kumpangia Diamond atembee na nani, amshike na asimshike nani, n.k! Hawa makima ndio aliwalenga lakini Zari akajishitukia kutokana na maneno ya Instagram!

Na ikumbukwe zari aliwahi kusema BBC London kuwa ameachana na diamond sababu ya kushikana shikana na Ma ex, so diamond bila Shaka Alimjibu zari kwa kusema hakuna kima wa kumzuia kushikana shikana , na yeye zari kalipiza kwa muda wake kama domo alivyofanya

Binamu kama unapenda umbea uwe unaweka conshen yako kwenye umbea vizuri🤣🤣🤣

Tatizo zari anajielewa na Ana akili nyingi , sio mjinga Yule , anajua anachokifanya
 
Ndiwoo sio yake kapanga. Kawajaza watu tu. Yale Yale ya Wema Sepetu na NYUMBA ya 400M. Diamond kapanga hiyo nyumba na ni mpya bado. Haina hata siku nyingi toka mwenye mjengo wake aizindue

Tatizo domo anafanya watu wajinga na anapenda mambo makubwa kuliko uwezo wako


Mbona hata kupanga pia ni hatua nzuri tena , anahitaji pongezi pia Ila why adanganye, nyumba ya south yenyewe wamepanga
 
Back
Top Bottom