Kik mjini warumi. Tutamsifiaje Ana hela sasaTatizo domo anafanya watu wajinga na anapenda mambo makubwa kuliko uwezo wako
Mbona hata kupanga pia ni hatua nzuri tena , anahitaji pongezi pia Ila why adanganye, nyumba ya south yenyewe wamepanga
Mkweee[emoji15] [emoji15] [emoji15] kapanga mbwembwe zote hizooo..si atafute uwanja mbopo ajengeeee!!!kaah!gharama za kupanga hapo shilingi ngapiNdiwoo sio yake kapanga. Kawajaza watu tu. Yale Yale ya Wema Sepetu na NYUMBA ya 400M. Diamond kapanga hiyo nyumba na ni mpya bado. Haina hata siku nyingi toka mwenye mjengo wake aizindue
Kik kwanza mkwe akili za kujenga baadaeMkweee[emoji15] [emoji15] [emoji15] kapanga mbwembwe zote hizooo..si atafute uwanja mbopo ajengeeee!!!kaah!gharama za kupanga hapo shilingi ngapi
Acha nikae uswazi lakini nimiliki kwangu!!jamani!!!Makubwaa
Kumbee. Atakua nani huyo??Ila domo anapenda uswahili jamani , yani hakui, mbona hata angesema kapanga poa tu , maana kajitahdi
Mwenye hiyo nyumba ni rafiki wa kinje, naye ni muuza Ngada
Hahaaa..kick hizziiii!!kaaah!hapana hajielewi diamondKik kwanza mkwe akili za kujenga baadae
Hutekwi bwana..Shoga ni ubuyu uwiii , umbea huu nisije kujikuta nimetekwa🤣🤣🤣
Mbea halafu muogaa!![emoji3][emoji16][emoji16]Hutekwi bwana..
Anafeli. Wambea hawaogopi kusutwaMbea halafu muogaa!![emoji3][emoji16][emoji16]
Kumbee. Atakua nani huyo??
Hata kidogo!!!Anafeli. Wambea hawaogopi kusutwa
Silijui hili jina. Ila mjini hamna siriMangugo.