Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

Msanii Nandy ameshiriki video leo septemba4 inayoonyesha mjengo wao mpya wa kifahari waliotumia miaka miwili kuujenga, na kuandika maneno haya (Tunasmshukuru mungu sana kutuwezesha kushare na nyie bhii furaha kubwa ya hatua ya maisha yetu,....

Nyumba yetu ya kwanza katika ndoa na zawadi ya binti yetu mremmbo Naya ,ndoa ni baraka na baraka tumeziona . bila kusahau wote mliotusapoti na mnaoendelea kutusapoti , hakika sapoti yenu ni chachu kubwa sana kwenye kila hatua ya maisha yetu . Tunawapenda na hatutakuja waangusha.

Hongereni sana
 
Ona hii kenge.... 3B unaijua wewe????
Mantainance yes it's costy lakini sio kama unavyotaka kudanganya watu hapa

Uliza professionals wa hiyo industry ndo uje hapa na andiko lenye mbwembwe.
Haya sawa. Ubaya naweza nikawa natumia nguvu kwa mtu ambaye anapambana kutumia MB zake za 500 kabla hazija expire
 
Mganga wake kamwambia nyumba ni haramu, yeye anapanga tu mpaka sasa na anaishi na Mama yake na ndugu zake katika umri ule.
Mmmmh! siamini,yaani akina BABA Levo wajenge,yeye asijenge?
Angalia gharama ya rol Royce tu,ni zaidi ya nyumba,akose nyumba kweli?
Haiingii akilini kabisa.
 
Nyumba nzuri sana. Kujenga siyo kazi rahisi. Hongera sana Nandy na Nenga. Nimependa gym design..very nice.👍

Kwa wote mlioumizwa na huu mjengo, mwenyezi Mungu awafanyie wepesi katika yote mfanikishe haja za mioyo yenu msiumizwe na mafanikio au maendeleo ya wengine.
Bosi Ruge nae kuna mchango wake kabla hajatangulia mbele ya haki
 
Hongera zao mabilioneaaa wa Tanzania hao

Ova
 
Back
Top Bottom