Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii Nandy ameshiriki video leo septemba4 inayoonyesha mjengo wao mpya wa kifahari waliotumia miaka miwili kuujenga, na kuandika maneno haya (Tunasmshukuru mungu sana kutuwezesha kushare na nyie bhii furaha kubwa ya hatua ya maisha yetu,....
Nyumba yetu ya kwanza katika ndoa na zawadi ya binti yetu mremmbo Naya ,ndoa ni baraka na baraka tumeziona . bila kusahau wote mliotusapoti na mnaoendelea kutusapoti , hakika sapoti yenu ni chachu kubwa sana kwenye kila hatua ya maisha yetu . Tunawapenda na hatutakuja waangusha.
Kile kijiumbea nilistuka lakn mbka leo siamini, mnyetshaj nae mpana akanionesha na evdence mana somehow analjua🧑🦯➡️Hawa wanatakiwa kuishi wote maana wamepitia mengi watoto wao wakiuliza wapate majibu kwao.
Kwanza wana video ya utupu na lile li kyupi la nandy liko mtandaoni na wajukuu watalikuta.
Na kile kijiumbea kwamba.......
Ndege wafananao uruka pamoja wacha waishi wote waliwazane.
Kila binadamu ana yake kwenye closet. It’s normal.Hawa wanatakiwa kuishi wote maana wamepitia mengi watoto wao wakiuliza wapate majibu kwao.
Kwanza wana video ya utupu na lile li kyupi la nandy liko mtandaoni na wajukuu watalikuta.
Na kile kijiumbea kwamba.......
Ndege wafananao uruka pamoja wacha waishi wote waliwazane.
Umesahau nandy festival ila bhana yote kwa yote hii ni siri ya mtu kuna alot of going on kwenye hiz mambo basi tu kila mtu ana siri yake.Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.
Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana
Madale mbona kila mtu anaijua mkuuHivi Diamond hanaga mjengo au haonagi umuhimu wa kupost mambo kama hayo,ya mijengo....?
Anyway.
Mzee hiv unafanya mchezo na hata 1b tu??? Yam M ziwe Buku mzee kwa kaz ya muzi au hivyo vi festival uchwara unadhan vinaingiza mpunga mrefu level hiyo??Umesahau nandy festival ila bhana yote kwa yote hii ni siri ya mtu kuna alot of going on kwenye hiz mambo basi tu kila mtu ana siri yake.
Sawa shida source income nayo ya wasanii wetu inachangamoto kwa bizness zao yeye na mme wake billnass it worth manake nandy mwenyewe anaendesha LC3000Mzee hiv unafanya mchezo na hata 1b tu??? Yam M ziwe Buku mzee kwa kaz ya muzi au hivyo vi festival uchwara unadhan vinaingiza mpunga mrefu level hiyo??
Sijui wanafanya kaz gan, lakin muzik hauwapi hiyo income both her na mumewe hata wakichanganyaSawa shida source income nayo ya wasanii wetu inachangamoto kwa bizness zao yeye na mme wake billnass it worth manake nandy mwenyewe anaendesha LC3000
We unawashwa nini... kila mtu ana haki ya kufurahi kwa namna yake.Hivi Diamond hanaga mjengo au haonagi umuhimu wa kupost mambo kama hayo,ya mijengo....?
Anyway.
Akili yako imejaa maji ya pwani kama ID yako.... yani unapima utajiri wa mtu kwa aina ya gari?Sawa shida source income nayo ya wasanii wetu inachangamoto kwa bizness zao yeye na mme wake billnass it worth manake nandy mwenyewe anaendesha LC3000
Wewe ni accountant wao au kuna wasanii unamanage mwenzetu?????Sijui wanafanya kaz gan, lakin muzik hauwapi hiyo income both her na mumewe hata wakichanganya
We umelia mara ngapi?Hiyo nyumba ya nani? kuna mmoja atakuja kulia hapo badae
Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.
Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana
Nunua fisi kabisa uanze uchawi budaHio clip itunzwe kwa matumizi ya baadae.
tuta wakumbusha
Ona hii kenge.... 3B unaijua wewe????Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.
Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana
Bora useme wewe... ogopa sana mjinga anayejiaminiWasanii wa siku hizi wanapata sana hela.
Instagram, youtube, na digital platforms zingine za kuuza mziki zimewaletea sana hela.
Endorsement pia wanazipata sana