Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote yanawezekana msharaha wa mwezi mmoja wa dogo mbappe unaweza kujenga huo majengo kama hayo mawili maisha ni bahati pia Kuna juhudiMsiyaamini Maisha ya mastaa mtandaoni.wana mengi wanaficha hamyajui.
Msije kujiona mna mikosi bure
Wapo werevu watasema ni pesa za mirathi ya Ruge.Apo wametisha wasaniii wengine wajifunze
Acha kijiba Cha rohoMasikini akipata
MarahabaShikamoo
Hivi Diamond hanaga mjengo au haonagi umuhimu wa kupost mambo kama hayo,ya mijengo....?
Anyway.
Hiyo nyumba ya nani? kuna mmoja atakuja kulia hapo badae
For real!!Msiyaamini Maisha ya mastaa mtandaoni.wana mengi wanaficha hamyajui.
Msije kujiona mna mikosi bure
Nalo neno 👌Msiyaamini Maisha ya mastaa mtandaoni.wana mengi wanaficha hamyajui.
Msije kujiona mna mikosi bure
🤣 🤣 🤣 🤣wanapendana sana.. Mungu awajalie wazeeke na kuzikana pamoja wakiwa na afya njema.
Gym imenikosha sana! tutafute pesa.Nilitaka kuanzisha uzi kumbe upo...aisee salute kwao..
Hyo gym ni hatari kabisa
Hyo swiming pool ni balaa jingine..
Wtt wadogo ila wana akili...
pole sana wema Sepetu hii ndo ingekua life style yako
Kucheza max loss una jua??Pako bombaa
Nami naicheza hiyo kwa sana zamani, siku hizi niliamua. Bongo hapa kijijini kwetu napoishi, napenda nikiona sehemu wanaojifanya wajuaji unawajoin turn ikifika unawaburuta wakae chini. 😁😁😁
Lakin huu mjengo nandy kaanza jenga mda kweli nahis ishu yake ya vipodoz inamwingizia sana pesa na mambo ya u ambassadorMsiyaamini Maisha ya mastaa mtandaoni.wana mengi wanaficha hamyajui.
Msije kujiona mna mikosi bure
Wema ela kamaliza kwenye kuvaa mawigi ya Milioni 2.Nilitaka kuanzisha uzi kumbe upo...aisee salute kwao..
Hyo gym ni hatari kabisa
Hyo swiming pool ni balaa jingine..
Wtt wadogo ila wana akili...
pole sana wema Sepetu hii ndo ingekua life style yako