Na kweli. UNAKUMBUKA alivyokuwa anawanunulia mawigi na nguo za sare kina snura, aunt Ezekiel na kajala??Wema ela kamaliza kwenye kuvaa mawigi ya Milioni 2.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli. UNAKUMBUKA alivyokuwa anawanunulia mawigi na nguo za sare kina snura, aunt Ezekiel na kajala??Wema ela kamaliza kwenye kuvaa mawigi ya Milioni 2.
Anasikitisha sanaWema ela kamaliza kwenye kuvaa mawigi ya Milioni 2.
Alisha vukaga hiyo stage ALIJENGAGA KITAMBO KASRI MADALE enzi izoHivi Diamond hanaga mjengo au haonagi umuhimu wa kupost mambo kama hayo,ya mijengo....?
Anyway.
Mkuu Hilo jumba ukiwa home unapikiwa msosi mzuri unajisahau unadhani upo hotelini kumbe upo nyumbani ..Wametisha sana. Ukiwa na mjengo kama huu, hata kuwai kurudi nyumbani unajituma, sio jumba kaa kichaka, ukipita kwa mama ntilie kidogo unajisahahu 🤣
Nenga ashukuru yule mastermind wa Mawingu ku-R.I.P Laasivyo hii comment yako ni invalidwanapendana sana.. Mungu awajalie wazeeke na kuzikana pamoja wakiwa na afya njema.
Kufaa kufaana mkuuNenga ashukuru yule mastermind wa Mawingu ku-R.I.P Laasivyo hii comment yako ni invalid
Zama zake karata hakuchanga vzuri hawa mastaaa wa zaman wote wanabid wawe na mijengo sio watu wa kupanga panga nyumba za miloni 2Na kweli. UNAKUMBUKA alivyokuwa anawanunulia mawigi na nguo za sare kina snura, aunt Ezekiel na kajala??
Machozi ya Furaha?Hata sijajiskia vibaya
View attachment 3086960
So what dogo? Jikite kwenye mada iliyopo jamvin na upanue wigo mpana9 people are here
Kila jambo extra ordinary linalofanikishwa na mtu wa kipato cha kawaida ukimuuliza mhusika achambue alifanikishaje hawezi kukupa maelezo yaliyonyooka ila mambo extra ordinary kwa mtu asiyetegemewa hutokea. Tatizo ni kumantain.Kwa kazi ya Sanaa tu hela ya kujenga hii nyumba hawana.
Duh🤔Msanii Nandy ameshiriki video leo septemba4 inayoonyesha mjengo wao mpya wa kifahari waliotumia miaka miwili kuujenga, na kuandika maneno haya (Tunasmshukuru mungu sana kutuwezesha kushare na nyie bhii furaha kubwa ya hatua ya maisha yetu,....
Nyumba yetu ya kwanza katika ndoa na zawadi ya binti yetu mremmbo Naya ,ndoa ni baraka na baraka tumeziona . bila kusahau wote mliotusapoti na mnaoendelea kutusapoti , hakika sapoti yenu ni chachu kubwa sana kwenye kila hatua ya maisha yetu . Tunawapenda na hatutakuja waangusha.
Kuna Jamaa wanakuja kukujibu kwa jazbaHivi Diamond hanaga mjengo au haonagi umuhimu wa kupost mambo kama hayo,ya mijengo....?
Anyway.
Hawajatokea Familia Choka Mbovu hilo inabidi ujifunze kabla ya kuandika sio wale wakina fulani sasa gemu inaelekea kuwatupa Mkono bado wanaishi nyumba za kupanga bank ikiwatingisha kidogo tu hali sio haliKwa kazi ya Sanaa tu hela ya kujenga hii nyumba hawana.