Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

Msanii Nandy ameshiriki video leo septemba4 inayoonyesha mjengo wao mpya wa kifahari waliotumia miaka miwili kuujenga, na kuandika maneno haya (Tunasmshukuru mungu sana kutuwezesha kushare na nyie bhii furaha kubwa ya hatua ya maisha yetu,....

Nyumba yetu ya kwanza katika ndoa na zawadi ya binti yetu mremmbo Naya ,ndoa ni baraka na baraka tumeziona . bila kusahau wote mliotusapoti na mnaoendelea kutusapoti , hakika sapoti yenu ni chachu kubwa sana kwenye kila hatua ya maisha yetu . Tunawapenda na hatutakuja waangusha.


Kifuatacho ITV.......

SANAA NA WASANII.
 
Hawa wanatakiwa kuishi wote maana wamepitia mengi watoto wao wakiuliza wapate majibu kwao.
Kwanza wana video ya utupu na lile li kyupi la nandy liko mtandaoni na wajukuu watalikuta.
Na kile kijiumbea kwamba.......
Ndege wafananao uruka pamoja wacha waishi wote waliwazane.
 
Hawa wanatakiwa kuishi wote maana wamepitia mengi watoto wao wakiuliza wapate majibu kwao.
Kwanza wana video ya utupu na lile li kyupi la nandy liko mtandaoni na wajukuu watalikuta.
Na kile kijiumbea kwamba.......
Ndege wafananao uruka pamoja wacha waishi wote waliwazane.
Kile kijiumbea nilistuka lakn mbka leo siamini, mnyetshaj nae mpana akanionesha na evdence mana somehow analjua🧑‍🦯‍➡️
 
Hawa wanatakiwa kuishi wote maana wamepitia mengi watoto wao wakiuliza wapate majibu kwao.
Kwanza wana video ya utupu na lile li kyupi la nandy liko mtandaoni na wajukuu watalikuta.
Na kile kijiumbea kwamba.......
Ndege wafananao uruka pamoja wacha waishi wote waliwazane.
Kila binadamu ana yake kwenye closet. It’s normal.
 
Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.

Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana
Umesahau nandy festival ila bhana yote kwa yote hii ni siri ya mtu kuna alot of going on kwenye hiz mambo basi tu kila mtu ana siri yake.
 
Umesahau nandy festival ila bhana yote kwa yote hii ni siri ya mtu kuna alot of going on kwenye hiz mambo basi tu kila mtu ana siri yake.
Mzee hiv unafanya mchezo na hata 1b tu??? Yam M ziwe Buku mzee kwa kaz ya muzi au hivyo vi festival uchwara unadhan vinaingiza mpunga mrefu level hiyo??
 
Sawa shida source income nayo ya wasanii wetu inachangamoto kwa bizness zao yeye na mme wake billnass it worth manake nandy mwenyewe anaendesha LC3000
Akili yako imejaa maji ya pwani kama ID yako.... yani unapima utajiri wa mtu kwa aina ya gari?
Wengine gari ni chombo cha usafiri tu, wananunua gari nzuri baada ya nyumba yenye hadhi na wengine kwao gari nzuri ni sehemu ya maisha bora akae nyumba ya kawaida ila apush pira la maana
 
Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.

Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana

Wasanii wa siku hizi wanapata sana hela.

Instagram, youtube, na digital platforms zingine za kuuza mziki zimewaletea sana hela.

Endorsement pia wanazipata sana
 
Tukiweka ushabiki pembeni tuka stick kwenye facts, HAKUNA MSANII BONGO ANAWEZA JENGA MJENGO HUU kwa kaz ya sanaa. hayupooo.. Hii kitu si chini ya 3B na hakuna msanii mwenye uwezo wa kuwa na hiyo figure kwenye account mpaka kufa kwake, labda Diamond ambaye naye si pesa ya muziki pekee.

Jumba kama hili maintenance costs zake tu Monthly vitu kama umeme na maji , usafi na mambo mengine ni pesa ndefu sana
Ona hii kenge.... 3B unaijua wewe????
Mantainance yes it's costy lakini sio kama unavyotaka kudanganya watu hapa

Uliza professionals wa hiyo industry ndo uje hapa na andiko lenye mbwembwe.
 
Back
Top Bottom