Hongereni sanaMsanii Nandy ameshiriki video leo septemba4 inayoonyesha mjengo wao mpya wa kifahari waliotumia miaka miwili kuujenga, na kuandika maneno haya (Tunasmshukuru mungu sana kutuwezesha kushare na nyie bhii furaha kubwa ya hatua ya maisha yetu,....
Nyumba yetu ya kwanza katika ndoa na zawadi ya binti yetu mremmbo Naya ,ndoa ni baraka na baraka tumeziona . bila kusahau wote mliotusapoti na mnaoendelea kutusapoti , hakika sapoti yenu ni chachu kubwa sana kwenye kila hatua ya maisha yetu . Tunawapenda na hatutakuja waangusha.
Haya sawa. Ubaya naweza nikawa natumia nguvu kwa mtu ambaye anapambana kutumia MB zake za 500 kabla hazija expireOna hii kenge.... 3B unaijua wewe????
Mantainance yes it's costy lakini sio kama unavyotaka kudanganya watu hapa
Uliza professionals wa hiyo industry ndo uje hapa na andiko lenye mbwembwe.
Lakini hii couple haijakuwa ya makiki sana so amini kwamba wamejenga dada😄Msiyaamini Maisha ya mastaa mtandaoni.wana mengi wanaficha hamyajui.
Msije kujiona mna mikosi bure
Si iko Goba hii??Lakin huu mjengo nandy kaanza jenga mda kweli nahis ishu yake ya vipodoz inamwingizia sana pesa na mambo ya u ambassador
YeahSi iko Goba hii??
Mganga wake kamwambia nyumba ni haramu, yeye anapanga tu mpaka sasa na anaishi na Mama yake na ndugu zake katika umri ule.Hivi Diamond hanaga mjengo au haonagi umuhimu wa kupost mambo kama hayo,ya mijengo....?
Anyway.
Mmmmh! siamini,yaani akina BABA Levo wajenge,yeye asijenge?Mganga wake kamwambia nyumba ni haramu, yeye anapanga tu mpaka sasa na anaishi na Mama yake na ndugu zake katika umri ule.
Hapo sawa.Madale mbona kila mtu anaijua mkuu
Inaonekana Nandy alimuweka Billnass kama SUB.Nenga ashukuru yule mastermind wa Mawingu ku-R.I.P Laasivyo hii comment yako ni invalid
Ndiyo hapo sasa kuishi kwa masharti ya mganga ni shida.Mmmmh! siamini,yaani akina BABA Levo wajenge,yeye asijenge?
Angalia gharama ya rol Royce tu,ni zaidi ya nyumba,akose nyumba kweli?
Haiingii akilini kabisa.
Bosi Ruge nae kuna mchango wake kabla hajatangulia mbele ya hakiNyumba nzuri sana. Kujenga siyo kazi rahisi. Hongera sana Nandy na Nenga. Nimependa gym design..very nice.👍
Kwa wote mlioumizwa na huu mjengo, mwenyezi Mungu awafanyie wepesi katika yote mfanikishe haja za mioyo yenu msiumizwe na mafanikio au maendeleo ya wengine.
Chawa katika ubora wake.Kwa kazi ya Sanaa tu hela ya kujenga hii nyumba hawana.
Ruge mwenyewe hivi kaacha hekalu 😄Bosi Ruge nae kuna mchango wake kabla hajatangulia mbele ya haki