Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Ghorofa ujenzi wake hufuata equations mbalimbali ambazo kwa wastani hautakuwa mbali kwa zaidi ya asilimia kumi.38.5X Sh.500,000 = 19,250,000
Bajeti ya floor
Watu wengi wa Real estate hutumia formula hii
Nyumba ya chini + (1.5 x nyumba ya chini)
Ukitaka ghorofa ya tatu unachukua ghorofa ya pili kama ni nyumba ya chini na unajumlisha gharama zote.
Hutakuwa mbali kwa zaidi ya 10%.