Ghorofa ujenzi wake hufuata equations mbalimbali ambazo kwa wastani hautakuwa mbali kwa zaidi ya asilimia kumi.
Watu wengi wa Real estate hutumia formula hii
Nyumba ya chini + (1.5 x nyumba ya chini)
Ukitaka ghorofa ya tatu unachukua ghorofa ya pili kama ni nyumba ya chini na unajumlisha gharama zote.