Mji Mzito Huu, DirectorJo Behind the Scene ni "Lord"

unazungumzia director Jo*n?
 

Mbona hakuna fact kwenye hii taarifa? Kwenye kuleta taarifa au hata tuhuma, ni lazima kujitahidi kukamilisha mambo matano muhimu ili hicho unacholeta kiwe habari/taarifa.

Kwanza, kimetokea nini? Jambo la pili, kimetokea wapi? Jambo la tatu, kimetokea lini? Jambo la nne, ni nani aliyefanya kilichotokea? Jambo la tano, ushahidi wa kilichotokea.

Habari inazungumzia mtu kufanya biashara ya dawa za kulevya, lakini habari yote imejaa dhana tupu bila ya kuweka msingi wa hiyo dhana yako. Hii uliyoleta, kwa kawaida huitwa ni uvumi tu.

Hivyo, jitahidi siku nyingine usituletee uvumi, tuletee taarifa yenye fact.

Ova
 
Kimasihala masihala Mange ana G-Wagon,kweli kajua kutumia fursa kupitia wajinga wanao mfuatilia.
 
Alikuwa kafulia huko Marekani Hadi gari ya mkopo alokuwa anatumia alipigwa block, sasa hivi ana G wagon aliyoinunua cash....mjini akili
Anazoa buku buku zetu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…