monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tutapoteza muda wetu kwa kusimuliana umbea wa kipuuzi.Nisimulie basi[emoji23][emoji23]
Sasa ni hivi, mnakumbuka kipindi Bashite amewaita wauza unga, kwenye watu maarufu alimuita Director. Sasa ni hivi Director hakusingiziwa na Bashite kama wengi tulivyodhani kipindi kile. Director ni kweli anauza unga. Tena mnaambiwa ni bonge la bosi la unga.
Partner wake mkubwa ni yule Omaryn wa Dubay. Ndo business partner wake wa biashara ya madawa. Mnaambiwa Director ni mmoja kati ya wanawake matajiri waliopitiliza hapa Tanzania. Ni vile tu anajitahidi kuficha utajiri aliokuwa nao.
Yani ni hivi toka atajwe na Bashite kipindi kile Director aliachana kabisa na maisha ya mitandaoni sababu yanamletea attention na ndo moja ya sababu Bashite aliruka nae kipindi kile.
Mnaambiwa Director ugomvi wake mkubwa na watoto wake wale Saraha na seNene ni kuposti good life mitandaoni ila watoto hawasikii wanataka kujionyesha wanazo huku mama yao anawaambia watamletea matatizo.
Sasa ni hivi hii biashara ya cosmetics ndo cover ya Director na ndo biashara anayotumia kutakatisha pesa zake za madawa ya kulevya. Mnaambiwa Director ana pesa balaaa.
Mnaambiwa Director hakosi bilioni 5-10 at any given time. 3 months ago Director kanunua Land Cruiser ya 400 million zero kilometers, akamnunulia na Saraha Range Rover Velarc. Mpaka hapo unaongelea almost 1B in just 3 months ago. Hiyo Land Cruiser anaificha tu haposti ila anayo.
2 years ago Director alinunua zile Mercedes benz za Double cabin for 200 million, akamnunulia Saraha Evoque na seNene akamnunulia Mercedes ya juu, mpaka hapo unaongelea another 500M+. Just 2 years ago.
3 months ago kanunua nyumba kariakoo 1B cash mkononi. Mnaambiwa Director ana properties mpaka basi. Yani inawezekana Director yuko kwenye top 10 ya wanawake matajiri hapo Tanzania ni vile inabidi ajifiche ili asijileteee attention ya serikali. Yani hakuna cha biashara ya cosmetics wala nini. Unga tupuuuuu.
Mnaona matangazo ya maZa anayoposti ya Wix, Director anamlipa maZa 5M every month kwa yale matangazo. Haki vile. Anampa maZa 5M kila mwezi navyowaambia hapa. Yani kwa kifupi Director ndo anaemuweka maZa mjini. Ila nahisi there's something more behind inayofanya Director anamlipa maZa hiyo 5M kila mwezi. There's something here.
Maana ingekuwa ni issue ya kumtangazia tu ni mara 100 angempa Wema ambae ndo alikuza jina na biashara ya Director so hapo kwa maZa kuna jambo kulipana hiyo 5M every month.
Sasa huyo mtoto wake Saraha mnaambiwa anamuhonga huyo baby daddy wake ambae ni mume wa mtu mpaka basi. Nilishawapaga story ya baby daddy wa Saraha. Yani anampaga 20 au 10 au 30 million kama mchezo tu. Anasafiri nae business class. Huyo mtoto alienda Seychelles kakaa "4 Seasons Hotel" more than a week. Hiyo hotel ni more than $1,000 per night. Mtoto anapanda business class kila siku. Yani wana hela mpaka hawawezi kuzihesabuuuzz.
Kweli hapa mjini njoo na akili tu, pesa utazikuta hukuhuku[emoji736]
Hahahaa Nyeregete hiihii ya kupita IsisiNimeambulia majina Bashite na Wema!
Huku Nyeregete hao "maselebu" hatuwajui.
Mtoto wa nani tena jmnAcha uongo director alitaka kumpeleka ney wa mitego police kwasababu ya matunzo ya mtoto sasa hyo hela ni ya kumshinda kweli za kuambiwa changanya na zako
We lazima skumoja unitunuku lazimaNilikua natafuta hii comment.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndicho ninacho kijua hicho. Anawauza watoto wake wa kike. Angekuwa na hela hizo asingweza kuwauza wanaeKuuza unga sio issue ila kumiliki 1bn labda kwacha ya malawi,hao madon wa unga bongo wenye pesa hawana....hapa unga unapita tu kwahiyo unasimamia show then unapewa chako,huyo na mwanae ni wauza mbunye sasa hivi anaishi kutegemea mwabae
director kazaa lini na ney wa mitego jamani au ndo umechanganya mafailiAcha uongo director alitaka kumpeleka ney wa mitego police kwasababu ya matunzo ya mtoto sasa hyo hela ni ya kumshinda kweli za kuambiwa changanya na zako
Director Joan anauza vipodoziThd imejaa neno "Mnaambiwa..mnaambiwa.."
Je tunaambiwa na nani? Huyo Director ndio nani huko Daslam?
Mbona rahisi , director JoanCode ngumu nimeondoka kapa
Ndo huyo huyoounazungumzia director Jo*n?
Kifungi Cha Maisha shogaaHivi shamimu mwasha mama wa vibubu ashatoka segedanse?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sana imerudi kwa kasi kubwaHakuna code hapo. Jamaa kakopi kutoka kwa Mange.Mange alikuwa anamzungumzia huyo anayejulikana kama Director Jo. Ni mtu anayejulikana sana hasa kwa wale wafuatiliaji wa hawa wauza sura wa kwenye mitandao.
BTW biashara ya madawa ya kulevya imerudi kwa kasi mno na hawa wauza sura wengi wanapigana kufa na kupona kwenye hii biashara ili wapate fedha za kununua mgari na nyuma za kuonyesha kwenye insta.
Wabongo tunapenda umbea haswaa....Alikuwa kafulia huko Marekani Hadi gari ya mkopo alokuwa anatumia alipigwa block, sasa hivi ana G wagon aliyoinunua cash....mjini akili
Director ana mtoto na ney wa mitego kuna siku aliweka waraka akimlalamikia kwamba hatoi matunzo ya mtotodirector kazaa lini na ney wa mitego jamani au ndo umechanganya mafaili
Na anazila haswaaaaAnazoa buku buku zetu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kipindi hikiii[emoji1787][emoji1787] Basi na dairecta aanze kupiga jaramba time will tell
Mbona kama mwandiko wa Mange huu?Ninaona umecopy kwenye app yake neno kwa neno.Hongera sana kwa kukopy na kuandika si kazi rahisi.Sasa ni hivi, mnakumbuka kipindi Bashite amewaita wauza unga, kwenye watu maarufu alimuita Director. Sasa ni hivi Director hakusingiziwa na Bashite kama wengi tulivyodhani kipindi kile. Director ni kweli anauza unga. Tena mnaambiwa ni bonge la bosi la unga.
Partner wake mkubwa ni yule Omaryn wa Dubay. Ndo business partner wake wa biashara ya madawa. Mnaambiwa Director ni mmoja kati ya wanawake matajiri waliopitiliza hapa Tanzania. Ni vile tu anajitahidi kuficha utajiri aliokuwa nao.
Yani ni hivi toka atajwe na Bashite kipindi kile Director aliachana kabisa na maisha ya mitandaoni sababu yanamletea attention na ndo moja ya sababu Bashite aliruka nae kipindi kile.
Mnaambiwa Director ugomvi wake mkubwa na watoto wake wale Saraha na seNene ni kuposti good life mitandaoni ila watoto hawasikii wanataka kujionyesha wanazo huku mama yao anawaambia watamletea matatizo.
Sasa ni hivi hii biashara ya cosmetics ndo cover ya Director na ndo biashara anayotumia kutakatisha pesa zake za madawa ya kulevya. Mnaambiwa Director ana pesa balaaa.
Mnaambiwa Director hakosi bilioni 5-10 at any given time. 3 months ago Director kanunua Land Cruiser ya 400 million zero kilometers, akamnunulia na Saraha Range Rover Velarc. Mpaka hapo unaongelea almost 1B in just 3 months ago. Hiyo Land Cruiser anaificha tu haposti ila anayo.
2 years ago Director alinunua zile Mercedes benz za Double cabin for 200 million, akamnunulia Saraha Evoque na seNene akamnunulia Mercedes ya juu, mpaka hapo unaongelea another 500M+. Just 2 years ago.
3 months ago kanunua nyumba kariakoo 1B cash mkononi. Mnaambiwa Director ana properties mpaka basi. Yani inawezekana Director yuko kwenye top 10 ya wanawake matajiri hapo Tanzania ni vile inabidi ajifiche ili asijileteee attention ya serikali. Yani hakuna cha biashara ya cosmetics wala nini. Unga tupuuuuu.
Mnaona matangazo ya maZa anayoposti ya Wix, Director anamlipa maZa 5M every month kwa yale matangazo. Haki vile. Anampa maZa 5M kila mwezi navyowaambia hapa. Yani kwa kifupi Director ndo anaemuweka maZa mjini. Ila nahisi there's something more behind inayofanya Director anamlipa maZa hiyo 5M kila mwezi. There's something here.
Maana ingekuwa ni issue ya kumtangazia tu ni mara 100 angempa Wema ambae ndo alikuza jina na biashara ya Director so hapo kwa maZa kuna jambo kulipana hiyo 5M every month.
Sasa huyo mtoto wake Saraha mnaambiwa anamuhonga huyo baby daddy wake ambae ni mume wa mtu mpaka basi. Nilishawapaga story ya baby daddy wa Saraha. Yani anampaga 20 au 10 au 30 million kama mchezo tu. Anasafiri nae business class. Huyo mtoto alienda Seychelles kakaa "4 Seasons Hotel" more than a week. Hiyo hotel ni more than $1,000 per night. Mtoto anapanda business class kila siku. Yani wana hela mpaka hawawezi kuzihesabuuuzz.
Kweli hapa mjini njoo na akili tu, pesa utazikuta hukuhuku✅