Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Director Joan ,demu wa yule mzee wa BOT wa magari mekundu ,miaka ile.Code ngumu nimeondoka kapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Director Joan ,demu wa yule mzee wa BOT wa magari mekundu ,miaka ile.Code ngumu nimeondoka kapa
sio director J aisee na director hana huo muda mchafu wa kufanya hivyo, huyo alieandika hivyo ni mdada mmoja hivi wa bongo movie ya zamani anaitwa skyner nae ni mweupe mneneDirector ana mtoto na ney wa mitego kuna siku aliweka waraka akimlalamikia kwamba hatoi matunzo ya mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana kipindi cha shilawadu kiliwaingizia clouds hela ya kutosha,sasa kijiti amekipokea mange, mimi pamoja na kupenda umbea siwezi kulipa pesa ili nipate umbea 😅Wabongo tunapenda umbea haswaa....
Mi tangu habari ya Shamim sibabaiki tena na post za Instagram [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kifungi Cha Maisha shogaa
Ila watatoka mi naona awamu ya pili ya Maza
Ila dad alijua kuturusha roho mbwaaa yule masikini siyeew
Shamim alijua kuturusha roho na mirange, harusi mlimani city no michango, anavaa designer, gold🤣🤣🤣, hapo kibubu anaweka milioni Kwa siku🤣Mi tangu habari ya Shamim sibabaiki tena na post za Instagram [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila umbea Una raha yake🤣🤣🤣Wabongo tunapenda umbea haswaa....
Mpuuzi aliitumia hela yule..bado najiuliza kwenye kibubu alikuwa anaweka ya nini sasa au ndo kutumotiveti[emoji1787][emoji1787]Shamim alijua kuturusha roho na mirange, harusi mlimani city no michango, anavaa designer, gold[emoji1787][emoji1787][emoji1787], hapo kibubu anaweka milioni Kwa siku[emoji1787]
Unaweza kumnyima mumeo unyumba hivi hivi ukamuona hajitumi kukupa good life[emoji1787]
Mbona rahisi , director Joan
Zamaradi
Zamani si alikuwa si alikuwa anatangaza kipindi cha TV chanel ten na Jimmy.Director Joan ,demu wa yule mzee wa BOT wa magari mekundu ,miaka ile.
Huyo mumewe magono sio alifariki,manake siku hiz hampost ,alafu wote yy na mumewe si walikuwa watumia doz, ...Ni kwel huyo Joan kazaliwa kinondon shamba,biashara ya madawa ni ya kitambo tokea ana bar yake pale TX kinondon mitaa ile ilipokua bar ya G8 ya mama siriwa,pale wauza sembe na matapel lazima uwakute pale, na director mdogo wake alikua anamtuma brazil,pakistan kubeba sembe..mume wake anaitwa magono mtoto wa ilala kota alikua UK miaka mingi akakimbia huko mana nae alikua mpigaji sana haswa wizi wa magar ya kifahari na kuchanja ATM kwakutumia kadi za wizi,kifup dada ana pesa...pale kwa mtogole nyuma kwenye sheli mpya ulitokea mwananyamala ana duka kubwa na sana la nguo
Mh mbona inasemekana sara kazaa na gsm cjui salahAcha uongo director alitaka kumpeleka ney wa mitego police kwasababu ya matunzo ya mtoto sasa hyo hela ni ya kumshinda kweli za kuambiwa changanya na zako
Hivi kwan yule nene ni mwanae wa kumzaa au wa kufikia kwa mmewe magonoKwa hiyo wale kina Sarah na Nene wanakatazwa kujionesha ila wanashindwa kujificha..mjini pagumu
Acha uongo we labda unamsema syknerhuniz yule shombe wa kihind bonge white wa bongo movie ndo aliezaa na nay,director amezaa na yule aliegiza kwny dear gambe ,kazaa nae mtoto wa kiume,na director ni Yule wa kwny wimbi wa ferooz starehe demu waliekutana naye kwa machen,nae ni shombe bonge whiteDirector ana mtoto na ney wa mitego kuna siku aliweka waraka akimlalamikia kwamba hatoi matunzo ya mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app