Mji mzito huu part 2

Ndo ivo itabidi wakubaliane na ukweli na uhalisia ulivyo, ila hii dhana potofu na mtazamo hasi hapana inaumiza wahusika kwa kweli. Mie najua hali ilivyo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Unajua kwasababu na ww ni punga tena wa kujitakia,usisingizie homon imbalance
 
Sawa mkuu,,usihofu tupo pamoja
 
Exposure ikikosekana watu wanajiropokea tu bestie.
 
Ila mnakosea sana kuwa kuhukumu watu ambao hamuwajuhi vizuri.
 
Nakuonea huruma mtt wa kiume kupumuliwa kisogoni man
Wee mwenyewe hujionei huruma ndo uonee wenzio? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aseeeeeeh kuna vichekesho San, weeee deal na maisha yako hatujuani humu lol.
 
Wee mwenyewe hujionei huruma ndo uonee wenzio? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] aseeeeeeh kuna vichekesho San, weeee deal na maisha yako hatujuani humu lol.
Tena uache mazoea ya kuniquote pungasese wewe [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Tena uache mazoea ya kuniquote pungasese wewe [emoji849][emoji849][emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu relaaaaaaaaaax, weeee vepeeeeh lol, kwa kipi sasa niku quote? Kaaaa kwa kitulia tyuuuh hakna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…