Mji mzito huu

kuna mshkaji yupo karibu sana na CLASS, huyo mshkaji mi homeboy sana tu, ndio kanipa kuwa kipindi CLASS ana bif na Biikuminambili, chanzo ni CLASS kukataa KUTUNUKIWA mzigo!
Yani mimi mwenzenu katika jambo linaloniwia gumu kulikubali ni hilo la B12! Nashindwa kabisa kuamini [emoji24][emoji24]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kuna mshkaji yupo karibu sana na CLASS, huyo mshkaji mi homeboy sana tu, ndio kanipa kuwa kipindi CLASS ana bif na Biikuminambili, chanzo ni CLASS kukataa KUTUNUKIWA mzigo!



code haifanyi kazi tena 😂😂😂😂😂
 
Nasikia alipewa kipigo cha mbwa koko na pete akavua.
Binti ana moyo sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…