cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Alipostiwaga na yule dj mwanamke mbeya akiwa amevaaa kibukta cha draft
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipostiwaga na yule dj mwanamke mbeya akiwa amevaaa kibukta cha draft
Yani huyo stylish nilimuona sehemu anakunywa juice ana mapozi kalegea hako ka mwili sasa. Yani ana mapozi kunishinda Mimi mtoto wa kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa huko juu alaisema aliambiwa sijui na nani kwanini hao wachaga wqnakuwa ivo maana ndio wengi sana ila mpaka sasa kimya sijui kqkimbilia wapi kutuoa ubuyuNa zile dimples zake sasa, afu kuna tetesi wachaga wengi ni wadau wa hii kitu, sijui ndio ile roho ya mchaga kujaribu kila kitu ama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo stylish kaharibiwa utotoni kwa sasa bila kujali uchagga mzazi ukiwa busy na kusaka pesa nakusahau mtoto kufatilia lazima ile kwakoNa zile dimples zake sasa, afu kuna tetesi wachaga wengi ni wadau wa hii kitu, sijui ndio ile roho ya mchaga kujaribu kila kitu ama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaahhh hujawahi kukutana na james delicious wewe yqko mbona ni ngumu
Katumia kitega uchumi vizuri japo siungi mkono watu kufanya hivi, ila anatokea familia ya siniga sijui wapo vizuri sana kiuchumi hata hivyo japo walimtenga rio baada ya kudeclare anapenda Dudu.Aiseee hatari sana yule mtu anamaweee kama yote alaf mtoto mdogo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tupe unyunyu maana utqkuwq unqmjua tangu utotoniHuyo stylish kaharibiwa utotoni kwa sasa bila kujali uchagga mzazi ukiwa busy na kusaka pesa nakusahau mtoto kufatilia lazima ile kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaahhh hujawahi kukutana na james delicious wewe yqko mbona ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2955][emoji2955][emoji2955]Katumia kitega uchumi vizuri japo siungi mkono watu kufanya hivi, ila anatokea familia ya siniga sijui wapo vizuri sana kiuchumi hata hivyo japo walimtenga rio baada ya kudeclare anapenda Dudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaahh sasa yule nae alijibadilisha akiwa uzeee ushamnyemeleaBwana mwanaume mwanaume tu mfano Caitlin Jenner kajibadilisha kajicoma masindano ya homoni ila misuli ya kiume iko pale pale
Sent using Jamii Forums mobile app
Katumia kitega uchumi vizuri japo siungi mkono watu kufanya hivi, ila anatokea familia ya siniga sijui wapo vizuri sana kiuchumi hata hivyo japo walimtenga rio baada ya kudeclare anapenda Dudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo mawasiliano na familia yake hana kabisaKatumia kitega uchumi vizuri japo siungi mkono watu kufanya hivi, ila anatokea familia ya siniga sijui wapo vizuri sana kiuchumi hata hivyo japo walimtenga rio baada ya kudeclare anapenda Dudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes hii michezo imetokea Arusha na Moshi can u imagine....wote wanaonyofolewa wanatoka huko huko, wameuharibu mji wa dar vibaya vibaya!Kuna jamaa huko juu alaisema aliambiwa sijui na nani kwanini hao wachaga wqnakuwa ivo maana ndio wengi sana ila mpaka sasa kimya sijui kqkimbilia wapi kutuoa ubuyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hii ya utotoni ni mbaya sana na inampa mtoto wakati mgumu hasa kujitambua ni nani na anatakiwa kufanya nini ila hawa watu wazima sina shida nao sana ni uchaguzi wao shida ipo kwa malaika hawa Duh!Kazi ipo wengi wa hivo huanza kwa wanawake then, wanakinai wanapata hamu na wao kuanza. Mbaya huwa ni ile kwa watoto wadogo kuharibiwa bila kujua, ila hao wa 38 huanza na k then wanahamia kwa wanaume wenzao, it's like addiction
Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunze kuandika vizuri kwanza, au ndo umelegea vidole?Asee! Unashikaga haga za wazee ?
Stylish ni nani shost?Huyo stylish kaharibiwa utotoni kwa sasa bila kujali uchagga mzazi ukiwa busy na kusaka pesa nakusahau mtoto kufatilia lazima ile kwako
Sent using Jamii Forums mobile app