Mji mzito huu

Mji mzito huu

Shida wengi huharibiwa na ndugu wa karibu tangia utoto wao na kutishwa wasiseme, na huko mashuleni ndo shida yatupasa kuwafundisha watoto madhara ya haya mambo, boarding kuna mambo sana.

Hao watu wazima wafanye tu kwa utashi na Uhuru wao it doesn't hurt ka kwa watoto.
Kweli hii ya utotoni ni mbaya sana na inampa mtoto wakati mgumu hasa kujitambua ni nani na anatakiwa kufanya nini ila hawa watu wazima sina shida nao sana ni uchaguzi wao shida ipo kwa malaika hawa Duh!

Mambo yakukaribisha ndugu alale na mtoto sijui boarding school kwa mtoto vinachangia sana haya mambo.

Wanasemaga kwani kama nimekula ya mwanamke mwanaume si ndio ile ile?

Kanaanza kwa mwanamke mpaka kwa kina juma lokole hapo ndio addiction sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha tu ndoa za hawa celebrity zina mambo mazito kuliko watu wanavyoona huko instagram, maana it's only good side of people's lives that's being shown there and the rest of it remains behind the iron curtain.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa asee...Bora wa machache, shida ni hasuguliwi vizuri tu, lkn mengine kitongaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku ni ubuyu kwa kwenda mbele hau hujui hili jukwaa, mie na discuss udaku, pia tusipangiane maisha ya kufanya jf na Uhuru wa Ku comment chochote jf as long as zivunji sheria za jf na jamhuri ya muungano wa Tanzania. I do respect you lakini sikutegemea ur that low kiasi hicho hafu wewe ni mwanaume wa tano kunifatilia kuhusu comments zangu, tena mumeshikilia mambo ya tigo wakati Mimi humu JF hu comments majukwaa mbali mbali had siasani mbona huwa hamuji kusema lolote.

Acheni mambo ya ajabu yenu kuona eti tigo ndo dhambi ila umbeya na usengenyaji ni sawa. I'm always positive my dear don't judge me by my opinions, I hate hypocrisy nature of people.

Enjoy ur time reading ubuyu here in celebrity forum
Mkuu wewe si ndo huwa unakemea sana haya mambo ya tigo,mbona hapa unajadili kwa mapana sana na uko more flexible hauna ile lugha ya ukali kama post zingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi sawa dada tumeshakujua tayari.
Ckusema kwa nia mbaya my friend


Nimekuwa nikivutiwa sana na comment zako ambazo huwa ukiwakomesha watu wanaopenda hiyo michezo na huwa nikifuatilia comment zako napata faraja sana kuona wapo wanaokemea hili suala kwa ukali na hawataki hata kulisikia.

Ila sasa nikashangaa kidogo hapa umekuwa tofauti ndo mana nikaandika hivyo.wala sikukusudia ubaya dada.

All the best.
Huku ni ubuyu kwa kwenda mbele hau hujui hili jukwaa, mie na discuss udaku, pia tusipangiane maisha ya kufanya jf na Uhuru wa Ku comment chochote jf as long as zivunji sheria za jf na jamhuri ya muungano wa Tanzania. I do respect you lakini sikutegemea ur that low kiasi hicho hafu wewe ni mwanaume wa tano kunifatilia kuhusu comments zangu, tena mumeshikilia mambo ya tigo wakati Mimi humu JF hu comments majukwaa mbali mbali had siasani mbona huwa hamuji kusema lolote.

Acheni mambo ya ajabu yenu kuona eti tigo ndo dhambi ila umbeya na usengenyaji ni sawa. I'm always positive my dear don't judge me by my opinions, I hate hypocrisy nature of people.

Enjoy ur time reading ubuyu here in celebrity forum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom