Mji mzito huu

Nilisikia bagamoyo na kigoma Ndo kiboko au


Sent from my iPhone using JamiiForums
Eti bagamoyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]...kule Kuna mazombie walking dead[emoji51][emoji51][emoji51][emoji37][emoji37]

Kigoma sijui, Ila Tabora uhakika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dukani ana ndoo nyingi[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]....walisema fans wake!

Hivi zile ndoo dukani kwake ni za nini

Sent using Jamii Forums mobile app

Isikute Ndo hiriz za kuvutiwa wateja, halafu pachafu, yan ustaa wote na uzuri wote anaenda kuweka duka tandale jaman , bongo hakunaga Staa mwenye duka masaki zaidi ya jacky mengi , yan wengi wanakimbilia sinza na kinondon halafu et wanajiita mastaa , mxiew


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyo Lulu nae kwisha habaree yake!...hana tena raha maskini!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa tandale si ndo kwa baba watoto wake?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...anataka iwe rahisi kuonana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ally remtullah na sheria ngowi wanaduka masaki, binamu unasahau vipi?

Au hawa sio celebrities?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana mwingine hvi alivumaga sana Ila sasa hvi Hana jipya, maana Hana akili, wala kipaji , wanapenda kuwa wote na tunda, Mara nyingi wanadanga wote, sura anayo Ila akili tu ndo hana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nipe jina lake IG ni mnyapie nyapie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanitaka au ? Pesa unazo au unaleta mdomo mxieew , kwanza wanaume mnaoingia celebrities forum hamna, si bora nikadange jamii intelligence au jukwaa la siasa🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums

Nisamehe bure siku zote najua wa kiume wewe ila nilimefuatilia hili andiko huku nikasema kama wa kiume basi utakuwa rafiki yake dozen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…