Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Jizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama ndo ivyo mkolomije mjanja,aliona labda kijana aliyemterezeshea mtaroni angemwaga siri akawahi aiseeMke tena wakati kapangiwa apartment masaki na muzungu? Au ndio sidechick wake?
Mmmh.. !
Zachini nikwamba mkolomije alimpa kijana fulani jina wala sura simjui, apartment kule upper residential areas ili awe anamtelezesha taroni popote ajisikiapo sasa kijana kula ugali tu akaona ameloose appetite, akatafuta appetizer kinyume na mkataba wa big boss, alivyogundua alipanick fukuza kijana na kuchukia sana kiasi cha kuanzisha kampeni kama sehemu ya kutolea hasira.
Yasemwayo Yapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unapata raha gani unapomtatua marinda mwanaume mwenzako?? Duh
Sent using Jamii Forums mobile app
ally remtullah na sheria ngowi wanaduka masaki, binamu unasahau vipi?
Au hawa sio celebrities?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, nasikia ya mwanamke ni laini zaidi.Kwani unapata raha gani unapomtatua marinda mtoto wa kike!!
Hahahah wabongo hatariMji mzito,mambo ni mengi sana halafu muda mchache!!! Kama WaterZo anakula mtaro wa Bi Kumi Na BEE basi hatari sana!! Kama ni Kweli namuonea huruma EFEME AKADEMIA MAMAA MJELAJELA.
Matusi hayo sasa warumi ,ngojea nivune matikiti na mananasi yangu Chalinze nitakutafuta tu.Unanitaka au ? Pesa unazo au unaleta mdomo mxieew , kwanza wanaume mnaoingia celebrities forum hamna, si bora nikadange jamii intelligence au jukwaa la siasa🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona ananunua magari ya BOT Liyumba...[emoji134][emoji134][emoji2539][emoji2539]Ile Rav 4 aliuza akanunua vanguard nyekundu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Idris mama ubaya anamfokonyoa???[emoji134][emoji134][emoji134]Wale c mnajua familia zao zilivyo? Na ally Rehmtullah ni model wa kimataifa kasomea US , Yule ni level nyingine , idris Ndo anakula pesa zake , maana Yule nae sura Hana inabid tu ahonge
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aseeee we jamaa una akili kinomaaBasi kama ndo ivyo mkolomije mjanja,aliona labda kijana aliyemterezeshea mtaroni angemwaga siri akawahi aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwamba hela na channel 'OKuna mchezo umeibuka kkoo, ukitaka fremu pale wale watoto wa kiarabu, wanatoa masharti mawili....huwezi kafe na njaa
Ngoja niishie hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu...umelenga, na Dini lazima ugeuke!Hahaha kwamba hela na channel 'O
Mmmmh! Binamu kumbe sultani anajilia vyake pale?Wale c mnajua familia zao zilivyo? Na ally Rehmtullah ni model wa kimataifa kasomea US , Yule ni level nyingine , idris Ndo anakula pesa zake , maana Yule nae sura Hana inabid tu ahonge
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sio gundu binamu , Yule akili hana , Mara Mia lulu kidogo , ingawa na yeye kaamua kuolewa yan atadoda, Yule angendelea tu kuwa single angedanga mpaka nchi za nje, kangekua mbali , Ila si haba atleast , maana anaishi maisha mazuri Hana shida , Ila still angekua na uwezo wa kuwa mbali zaidi
Lulu angetaka kufanikiwa xaidi angeachana na mambo ya ndoa, coz she is a star , na lulu Ana nyota kali na mzuri , angepiga madili ya maaan, Sasa kamuona majini Ndo tajir mxieew akaamua kujifunga
Sent from my iPhone using JamiiForums
No mobetto sio mjinga hivoo! Unajua alilenga yulee, Ni ile tu ana gundu ndo maana mambo yakamgomea!.....kwanza alijitombesha, akapata mimba, kichwani akajua lzm apate ghorofa, na BMW+ seed capital....sema mara nyingi ishu ukiwa unaifukuzia, well arranged, na full expectations, mara nyingi lazima uambulie 0 kubwa[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app