Mji mzito huu

Mji mzito huu

Mke tena wakati kapangiwa apartment masaki na muzungu? Au ndio sidechick wake?

Mmmh.. !

Zachini nikwamba mkolomije alimpa kijana fulani jina wala sura simjui, apartment kule upper residential areas ili awe anamtelezesha taroni popote ajisikiapo sasa kijana kula ugali tu akaona ameloose appetite, akatafuta appetizer kinyume na mkataba wa big boss, alivyogundua alipanick fukuza kijana na kuchukia sana kiasi cha kuanzisha kampeni kama sehemu ya kutolea hasira.

Yasemwayo Yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kama ndo ivyo mkolomije mjanja,aliona labda kijana aliyemterezeshea mtaroni angemwaga siri akawahi aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ally remtullah na sheria ngowi wanaduka masaki, binamu unasahau vipi?

Au hawa sio celebrities?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wale c mnajua familia zao zilivyo? Na ally Rehmtullah ni model wa kimataifa kasomea US , Yule ni level nyingine , idris Ndo anakula pesa zake , maana Yule nae sura Hana inabid tu ahonge


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wale c mnajua familia zao zilivyo? Na ally Rehmtullah ni model wa kimataifa kasomea US , Yule ni level nyingine , idris Ndo anakula pesa zake , maana Yule nae sura Hana inabid tu ahonge


Sent from my iPhone using JamiiForums
Idris mama ubaya anamfokonyoa???[emoji134][emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale c mnajua familia zao zilivyo? Na ally Rehmtullah ni model wa kimataifa kasomea US , Yule ni level nyingine , idris Ndo anakula pesa zake , maana Yule nae sura Hana inabid tu ahonge


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mmmmh! Binamu kumbe sultani anajilia vyake pale?

Mbona nasikia sultan ni mchicha mwiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Lulu aliyemdaganya kukimbilia ndoa bila kutimiza malengo yake sasa atajuta nadhani hataki ni vile majizo ana msupport yeye na familia. Angetakiwa afanye mengi na makubwa wanaume wa kibongo kukuacha utimize ndoto ni ngumu soon tutamsahau
Sio gundu binamu , Yule akili hana , Mara Mia lulu kidogo , ingawa na yeye kaamua kuolewa yan atadoda, Yule angendelea tu kuwa single angedanga mpaka nchi za nje, kangekua mbali , Ila si haba atleast , maana anaishi maisha mazuri Hana shida , Ila still angekua na uwezo wa kuwa mbali zaidi

Lulu angetaka kufanikiwa xaidi angeachana na mambo ya ndoa, coz she is a star , na lulu Ana nyota kali na mzuri , angepiga madili ya maaan, Sasa kamuona majini Ndo tajir mxieew akaamua kujifunga


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mobetto hajiomgezi wee imagine anaenda kudanga halitangazi duka lake wateja wana mpigia simu dukani kumefungwa. Yani had mange kumsuta si ndo kutokujiomgeza kwa mambo na timu yake ilikuwa ina mchangia had kodi
No mobetto sio mjinga hivoo! Unajua alilenga yulee, Ni ile tu ana gundu ndo maana mambo yakamgomea!.....kwanza alijitombesha, akapata mimba, kichwani akajua lzm apate ghorofa, na BMW+ seed capital....sema mara nyingi ishu ukiwa unaifukuzia, well arranged, na full expectations, mara nyingi lazima uambulie 0 kubwa[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom