Mji mzito huu

Hahahah eee mji mzito kwakweli kwaio haric na mauki wanafokonyoana hahahahhha cpatii picha haric anavo toa miguno na kukatikia juu hahaha
Yule wa utalii kabla sijaambiwa nilivokuwa namuona alivo mlege mlege mhhh nikawa namu doubt, kweli mkewe msiri huyo mwana saikolojia ndo kakubuhu baby wa mchungaji wa mle clouds anayejifanya mchungaji

Sent using Jamii Forums mobile app

am better here
 
Watu wanawish wawe na mume kama mauki hahaha kumbe jamaa fyongooo

am better here
 
Noeli uyo

am better here
 
Na nguo tutauza kusave wapendanao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ndoa yao lini nasikia kisura na urembo wake Pete anaivaa kwa nadra sana. Soon tutasikia binti kaiuza😁
 
ila anaonekana kabisa hana furaha sura imekosa nuru kabisa maskini bora enzi anakula vichwa vya juu kwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa pazito..
 
Kuna vitu vingine vinatia hadi wasiwasi

Dj dommy kaenda mjengoni kavuta mke ndani,Kenedytheremedy kavuta mke,Dj Zero kavuta mke,Adam ana jiko..wewe upoupo tu,lazima watu wawe na mashaka

Anyway,watajua wenyewe
Kwahiyo wenzie wote wanawake kasoro TWANGALA
 
Ujue ni rahisi kufahamu tabia/kalibu za watu kwa kufatilia tu salamu zao, maongezi yao, kucheka kwao, uvaaji wao, utembeaji wao, utembeaji wao, ishara zao, vyakula vyao n.k.
Nawaona wambea mnamumunya ubuyu wa codes a.k.a ubuyu wa chuma
Amakweli CMG pazito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…