Mji mzito huu

Mkuu hebu funguka..

Mambo mazito haya
 
Haahaaa, yule jamaa walishindwana jamaa alikuwa hajatulia bashite akamfukuza kwenye nyumba, now kapata danga lingine yule jamaa inasemekana ni mzungu..bashite ana wivu sana hata alivyoropoka kwa Piere sikumshangaa amejawa na wivu kuliko kale kamdudu.
 
Dah! itakuwa safi sana kama ndoa yao imevunjika, acha DC akomae kwa mkewe
Halafu nimeskia ndoa ya dc meru na bashite imevunjika kapinduliwa na lemutuz mama nacheka[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
akangalau apate mtoto sasa maana miaka inaenda tangu kaoa hajafanikiwa atubu na Mungu amjalie nae awe baba., aache sasa michezo ya Amber Ruty.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…