Mji mzito huu

Mji mzito huu

Mwenznagu tutabanana tu , china harudi mtu , yan lile jumba lote la mbweni kule namwachia nani? Mxieww msinitanie, nitawaroga tena🤣🤣🤣🤣

Save harusi yangu 🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
AHHAHAHAHHAHHA!
 
I've deciphered all codes.

Kudos Mkuu kwa kutumia codes hasa kwenye haya mambo ya privacy.

Zamani bila kujua codes utapitwa na siri za huu ulimwengu.

Mawingu media nini tatizo?

Nimeshangazwa na huyo mwana politricks, ambae alikuwa kinara wa mambo ya mtaroni, kumbe ni mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo.

Water-zo sijui itakuwaje na pearl maana b21 ndio kama kaliamsha dude.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We naeee unakaribia menopause ka mie unaanza kupoteza kumbukumbu!
mfyuuuu!
Kuna code gani hapa ya kumuombea binamu akufe!
KWANZA mi nataka birthday yake iwe leo!
warumi HAPPY BIRTHDAY LOVE!

Ahahaha binamu mbavu zangu , sio kwa birthday ya kushtukiza🤣[emoji16]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hicho kituo hakifai huyo kijana namkubali ila aliyemfundisha huo mchezo Mungu anamuona

Sent using Jamii Forums mobile app

Afundishwe na nani , tamaa tu za kutaka maisha ya juu , Ila si anafanya kaz lakin jaman ? , yan hawa sio kama wana shida ni vile tu wanapenda tu huo mchezo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na Hao mashemeji kutwa kujifanya wanashadadia harusi , kumbe huku nyuma wana shemej yao mwrngine tena mwanaume mmmh , mji huu mzito jaman , ptuuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kudadadadeki.....hatari sanaa
 
Back
Top Bottom