Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AHHAHAHAHHAHHA!Mwenznagu tutabanana tu , china harudi mtu , yan lile jumba lote la mbweni kule namwachia nani? Mxieww msinitanie, nitawaroga tena🤣🤣🤣🤣
Save harusi yangu 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huu uzi kiboko, umewafukunyua wambea wazoefu wote waliokua wamepotea, chezea Warumi weye! Wapi Dinazarde jamani, Niffah Umbea matamu jamani
We naeee unakaribia menopause ka mie unaanza kupoteza kumbukumbu!
mfyuuuu!
Kuna code gani hapa ya kumuombea binamu akufe!
KWANZA mi nataka birthday yake iwe leo!
warumi HAPPY BIRTHDAY LOVE!
ah uzaliweeeee!Ahahaha binamu mbavu zangu , sio kwa birthday ya kushtukiza🤣[emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata huyu kijana nae ni msegeju....haiwezekani!!
Hicho kituo hakifai huyo kijana namkubali ila aliyemfundisha huo mchezo Mungu anamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee aisee! nimesikitika sana ....ni ngumu kuiweka akilini ....kwamba huyu kijana nae ni wa michezo hiyo....Hicho kituo hakifai huyo kijana namkubali ila aliyemfundisha huo mchezo Mungu anamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi hizo code zenu zinanishinda..Johm@ka stori zilizopo kitaani ni kuwa anamsukuma yule mdogo wake twanga ambaye anamwitaga twanga dadii redioni
Duuuuuh.......
Mimi hizo code zenu zinanishinda..
Daah
Kudadadadeki.....hatari sanaaNa Hao mashemeji kutwa kujifanya wanashadadia harusi , kumbe huku nyuma wana shemej yao mwrngine tena mwanaume mmmh , mji huu mzito jaman , ptuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Majizzo
Tuendelee kufuatilia...Write your reply...daah hata hivyo nimeunga hizo code picha limetoka nusu yaani halina part two!. ngoja mchizi beira anisave
Warumi sichujag binamu, watakuja wote Ila hapa mwisho wa reli
February/Daudi