Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee kumbeeee na iyo shule anasoma saa ngapi maana kila kukicha yuko mamtoni hukoAnasoma Kurasini Diplomacy, Usishangae kateuliwa balozi siku zijazo maana ana foundation kubwa na experience tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani siku izi si ananyanyua chumaYani huyo stylish nilimuona sehemu anakunywa juice ana mapozi kalegea hako ka mwili sasa. Yani ana mapozi kunishinda Mimi mtoto wa kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee hatari sana yule mtu anamaweee kama yote alaf mtoto mdogo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaan[emoji848][emoji848]...former tourism amelegea Sana asee....mwanzo nilifikiri mlevi wa jibapa
Hivi analiwa au anakula?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale watoto wakinondoni sijui kwamtogole elimu form 4Wale wanaotembea na wema ni wa chafu hawana mbele wala nyuma nadhani bei yao ndogo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38]nimeiona kule kwa milly[emoji38][emoji38][emoji38]Eti wanazengo wana sema ananyanyua chuma kukaza kamswabanda. Ila yule mlegevu anaweza nyanyua chuma gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa nimechoka aisee kah[emoji38][emoji38][emoji38]nimeiona kule kwa milly[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawahi kusikia degree za mezani?Aiseee kumbeeee na iyo shule anasoma saa ngapi maana kila kukicha yuko mamtoni huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana wife wake hanaga raha aseeHa ha ha!
Kwa zajikoni ni analiwa sijui inawezekana ni mchicha mwiba, ang'ata na kung'atwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh kweli kama yale ya poshHujawahi kusikia degree za mezani?
Ukimpa lecturer laki tano kwa usawa huu course work ikae vizuri atakataa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo stylish ni nani jomoni?Anasoma Kurasini Diplomacy, Usishangae kateuliwa balozi siku zijazo maana ana foundation kubwa na experience tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na tutako twa wanaume tulivyo tugumu[emoji16][emoji16]Hivi wanakumbatiana na kubusuana jinsi ya k anayofanyiwa mhhhh mbona gumu sana hyo kitu nikitafakari
Sent using Jamii Forums mobile app