miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daraja mbili ngalelooooooDon bother ni nan
Ila evelyn utakufa kinywa wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] pooh mbakaShouger nimeiona, na kimgusano flani hivi cha kuamshana vinyweleo, mji haubebeki huu....utakaa kutamani ya watu oooh jamani ningekua kama flani kumbe ukipewa yake utakufa, sijui kistuli anajiskiaje
Alikuaga ameolewa na mzungu huyu wanaishi masaki enzi hizo. Ila ni malaya msafi na Elimu anayo. Mliwa mizoga huyu na maskio yake kama upawaHuyo wa UN si ndo yupo na waziri mpya, A.K.A mwanasiasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wameanza kitambo sana.
Ila agrrey ni mchafuuu... mpk kinyaaa. Nakumbuka enzi za kesi ya wema akiwa chadema tulikua tumemfata kibatala mahakamani. Jaman, aggrey tishirt yake nyeusi chafuu ina mabaki ya vyakulaa, miguuni mavumbioi.. tishet limepaukaaaa. Tulijuta kwenda maana camera kibao kuhofia tisirekodiwe maana siyo kesi ilitupeleka pale. Mashoga kibao wema alikia akiwafugaa. Pooh mbakaShoga maarufu mchafu hivi huwa ni best na mastar kina wema na kajala
Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....😂😂 Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipooooIla evelyn utakufa kinywa wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] pooh mbaka
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni msee[emoji23][emoji23] eti mpk vinyweleo vikasimama. Hpana, umbea wako umevuka levels babe[emoji23][emoji23]Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
Makini joDon bother ni nan
Mnyama mkali mkali[emoji849][emoji849][emoji849]! Tanzania ni Nchi ngumu sana! Kuna watu wanasema kua Ruge alikua anampiga pipe Twangala! Hapana nakataa!
Ruge na Twangala ni ndugu wale,Mama yake Twangala ni Mhaya kutoka kwao na Ruge,kama sikosei Ruge na Twangala ni mtu na mdogo wake mtoto wa Mama Mkubwa na Mtoto wa Mama mdogo au ni mtu na binamu yake, mtoto wa Shangazi na mtoto wa mjomba
Suala la Twangala,kulia kwenye msiba wa Ruge,ni Ruge huyu huyu ndiyo alikua anamtetea sana B Dozen pale Mawingu kuhusu kufutwa kazi na kina Kusaga kutokana na hizi skendo zake za Ushoga! Ingawa Mawingu kuna mapunga wengi tu! Yule Mnyama mkali mkali nasikia ni msosi wa Mr Politician! Yule Waziri wa Mwanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro JITAHIDI kutumia tafsida, usitaje jina la mtu sio Vzur.Duuu makamba? Na urais anautaka tena? Asahau kabisa......hiyo ni point ya kifo kukalia kile kiti
Lulu amloge huyo mjinga Mimi mwanaume mkula wanaume tuachane tu wallah aibu
hyo picha sijawahi kuiona aisee[emoji28]Si uliionaga ile picha? Kwenye msiba wa jasiri yani kijana kakumbatiwa na bilionea maji basi nae kajilaza mabegani.....[emoji23][emoji23] Yani enzi hizi mwanamke anakuibia mume mwanaume anakuibia mume kazi ipoooo
Lile kumbato ni kuamshana vinyweleo 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni msee[emoji23][emoji23] eti mpk vinyweleo vikasimama. Hpana, umbea wako umevuka levels babe[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Daaah yani inabidi ulipe nikutafutie 😁
Pole rafiki.Iladunia ina mambo yaani kuna watu wanafukuliwa mitaro hadi ukiwaona unajiuliza hivii huyu alianza anza je mpaka kufika huku?
Hapa ninavyo type kuna kibosile moja wa UN ameniomba nimtafute kibosile mwenzie handsome boy wa kumfukua mtaro. Yaani nimebaki nimepigwa na butwaa hata kumjibu sijamjibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeamua umalize kbsa jambo fumbo,Usihangaike sana bwana mataqqqqq ndio zake anawapelekea Moto vijana hatari, Defao akiishiwa hela kipindi amekuja akapewa papaa mataqqqqq amshughulikie, mkongomani mkorogo ulimuisha daaadeki.
Na yule mzee huwa haoni noma kusimulia mpaka anakauka mbavu.
Hivi na vidimpo anaonekana nae yumo kwenye group la bii kumi na mbili au sio? Maana nae mmmhh hajambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kmbe nn?Watu waongo sana ninth[emoji38][emoji38][emoji38]aliliwa Linda?
Za serikali je? Sasa ungejua za serikali ndo zinaweza zikawa zinaongoza kwa hilo.Hasa hasashule zinazoendeshwa na taasi za wale viongozi wa dini wasio oa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman jaman khaaaahMafaza nao huwa wanawafumua marinda watoto wadogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sjui km hakumpitia jaman, uncle Ben hoyeeeeh.Sasa kumbe unajua jomba [emoji2][emoji2][emoji2] halafu hivi kwa nini uncle Ben alimpa mchuzi na sio ubalozi wao ambao ndio wahusoka wa raia wa Congo ambae amepata matatizo nchini?
Sema lidefao na Yale mauno hatari sana sheikh[emoji2][emoji2][emoji2] na mzigo anao uncle Ben nae mmh