Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mkuu njoo Tunduma,hutajutia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbagala inajazwa na watu sababu ya centercity tu. Wengi unaowaona pale wanatoka maeneo mengine makubwa/yenye watu wengi kama chamazi/mbande, tuangoma mpaka mipeko, vikindu mpaka kisemvule mpak mkuranga ni saw na kusems mbezi luisi au bananaMkuu inamana wewe huoni nyomi la mbagala?😂
Ama sindio jombaa!?Watu wengi mnaotoa hii kauli 'uwe na hela' au 'tafuta hela' huwa hamna figure.
wakati unawaza ukishavuna bangi uje dsm kutumia 😀😀Mimi nipo hapa Tarime sijawahi kuutamani huo mkoa wa Dar
Karibu Tarime, hutojuta
Umekariri kitu ambacho si kweliSawa sawa mkuu
Nachoamini dar ni sehemu ya kujitafuta kama kijana.
Ukijipata kiasi fulani unaweza sasa kwenda kupambana mikoani.
Ni sawa tu ni bora anayekuja kuliona jiji ana kibunda kuliko aliye jijini ambaye life lake unga unga mwanaHata kama wametoboa lakini Ni lazima wafike hata kuliona jiji
Rudini kwenu Katalamba na Simiyu hukoSalamu wakuu.
Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama ukiweka starehe mbele.
Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji huu zinataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.
Huko Mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.
Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha kwa watu wamikoani. Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji wa Dar.
HUU mji ni kama maji vile usipoyaoga, utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.
Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.
Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya, na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?
Mbagala mafukara wengi😀🙆Watu wa mbagala tumeingiaingia vipi hapo mbona watu waliovurugwa hata mererani wapo
Rais ni Solo Thang a.k.a ulamaa mwanazuoni aliyekomaa.Yaani nimejikuta nafurahi baada ya kuona kumbe mbagala ni mkoa ndani ya dar.
Sasa raisi wa hapo mbagala ni mimi huyo.
Mbagala huku lazima uwe mission town ndio utatoboa maisha
Mimi nipo hapa Tarime sijawahi kuutamani huo mkoa wa Dar
Karibu Tarime, hutojuta
Nimeishi mikoa msingi sana, Dar es salaam ukiwa na pesa na kazi binafsi is one of the best city to live...
Ila Dar es salaam bila pesa hapafai hata kidogo, na nikisema pesa simaanishi vihela, hapana.
Ubaya wa Dar es salaam:
1. Ukiwa mwajiriwa hapafai.
2. Kulea watoto sio pazuri.
3. Ni mji wa watu waongo ongo.
Ndio nani huyo mbona kama unamjua wewe tuRais ni Solo Thang a.k.a ulamaa mwanazuoni aliyekomaa.
Hii ni dalili ya mwisho wa dunia.DAr wanawake wanashindana kutembea uchi.
Kweli kaka yaani ni shida tupu.Hii ni dalili ya mwisho wa dunia.
Dar hu mji una shida sana.Kweli kaka yaani ni shida tupu.