Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,942
- 4,230
Kama humjui Solo Thang basi we wa bush sana aisee.Ndio nani huyo mbona kama unamjua wewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama humjui Solo Thang basi we wa bush sana aisee.Ndio nani huyo mbona kama unamjua wewe tu
Safi sana huwenda wewe ni wa kuja hapaKama humjui Solo Thang basi we wa bush sana aisee.
Sasa mtu humjui Solo unaniita wakuja, watu wanakushangaa chief 😃Safi sana huwenda wewe ni wa kuja hapa
Mwambie Msafiri labda atamjua au mwambie yule alieimba Miss TanzaniaSasa mtu humjui Solo unaniita wakuja, watu wanakushangaa chief 😃
[Verse 1: Solo Thang]Safi sana huwenda wewe ni wa kuja hapa
Aisee, halafu jamaa hamjui Ulamaa. Umenikumbusha mbali sana mkuu[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
Sasa hapa tupo pamoja[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
mkuu nahitaji single mother tokea pande hizoSogea hapa Migori
Kwanini mkuu.Wee jamaa mnafki daah😂
mkuu nahitaji single mother tokea pande hizo
hebu ni connect. awe mweupe
Mkifika Dar tu mnajitoa akili mnakana kwenuSipajui huko
NA NDIO UMEKUSANYA MAJINI,MIZUMWI NA WACHAWI WAKILA NCHI,MKOA,WILAYA,KABILA MIX NA BAHARISalamu wakuu.
Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama ukiweka starehe mbele.
Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji huu zinataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.
Huko Mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.
Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha kwa watu wamikoani. Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji wa Dar.
HUU mji ni kama maji vile usipoyaoga, utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.
Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.
Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya, na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jf bhana et siwezi kuelewa,,,,,,,Huwezi elewa,
Hao ni wengi mnooooo Na huona ufahari kuteseka dar,,,,fainali uzeeniWapo waliotoboa nje ya Dar
Kuna wengi wanang'ang'ania Dar na kupoteza muda na maisha yanawachapa
Ni ujinga tu eti niko Dar na hauna mishe ya maana kula kwa shida
Msafiri Kondo sasa hivi ni Director nadhaniSasa hapa tupo pamoja
👊
Daka nyamira au Ena uje NairobiSogea hapa Migori
Umesema vyemaHao ni wengi mnooooo Na huona ufahari kuteseka dar,,,,fainali uzeeni
Kabisa aseeNA NDIO UMEKUSANYA MAJINI,MIZUMWI NA WACHAWI WAKILA NCHI,MKOA,WILAYA,KABILA MIX NA BAHARI