Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

Mji wa Dar es Salaam ni mishe mishe

Safi sana huwenda wewe ni wa kuja hapa
[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
 
[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
Aisee, halafu jamaa hamjui Ulamaa. Umenikumbusha mbali sana mkuu
 
[Verse 1: Solo Thang]
Yeah…
Yeah…
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Hakuna S bila O
L bila O
Mwingine aitwe’ Thang bila Solo
Shupavu’ awajibike kama Apollo
Jay, Afande!
Ni ukuta’ wapi uchochoro?
Yo Naghani’ ni mtazamo wa fani
Ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni
Kuna ku-rap na kumbwata
Ma-reaper na ma-rapper
Katuni, Tungo tata
Wapi ulipo we jaku?
Unakuwa mtumwa ili upewe promo kuuza
Au kama ni binti’ ukalale kwa prodyuza
Ma-Promoter wana uma tu’ hawajui na kupuliza
Na siku wakipuliza jua kidonda kishaoza
Natamani kuwa huru mnyonyaji asinidhuru
Wanaitwa “ma-Emcee” hawajui mitindo huru
Huu mtazamo wangu’ naona vingi vioja
Yaani watangazaji sasa’ ndo ma meneja
Vidato sita nlivyopitia
Ndivyo vinavyonisaidia
Mbunifu ukiizingatia
Hata wakinibania
Ni kipaji tu
Ni mtazamo tu
Msikasirike wash’kaji
Haya mawazo tu
Ulamaa…
Sasa hapa tupo pamoja
👊
 
Salamu wakuu.

Mji huu Dar es salaam ni Mji mzuri sana katika mishe za hapa na pale. Mji huu haumkatai mtu kama ukiweka starehe mbele.

Pisi za Mji huu hazina upendo kwa apeche alolo. Pisi za Mji huu zinataka kuona unatembea na AC yako ili wakupe unapopataka lakini hawakupi moyo wao.

Huko Mbagala watu wamevurugwa yaani naweza kusema ule ni Mkoa ambao upo ndani ya Jiji hili Dar es salaam.

Huu ndio Mji unaotoa hela na kuzitawanyisha kwa watu wamikoani. Hata ufanye nini huwezi kuukataa huu Mji wa Dar.

HUU mji ni kama maji vile usipoyaoga, utakunywa au kunawa yaani huwezi kuukimbia.

Kwa ufupi Jiji la Dar es salaam hauna maadui
Yaani Rafiki kwa kila mkoa.


Utaitwa Handsome hata kama sura mbaya, na hii ndo Daslam unakana kwenu huna haya?
NA NDIO UMEKUSANYA MAJINI,MIZUMWI NA WACHAWI WAKILA NCHI,MKOA,WILAYA,KABILA MIX NA BAHARI
 
Huwezi elewa,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jf bhana et siwezi kuelewa,,,,,,,
Kama huna hela umepanga nyumba moja ina wapangaji kumi pambana na hali yako! Watoto wako wanasoma shule ya serikali ina wanafunzi 900 pambana na hali yako

Kuna watu wanaishi nyumba nzima na ina fensi husiikii vigodoro sijui singeli hakuna wale jamaa wa sumu za panya hakuna bar kiufupi mazingira yametulia

Watoto kwenda shule gari linawafuata nyumbani, shule ina wanafuzi nzima ina wanafunzi 120 tu nashindwaje kulea mtoto?
 
Back
Top Bottom