Kinachoufanya mji wa IFAKARA kuwa juu ni uwepo wa vitu vifuatvyo
1) Hospital kubwa ya Rufaa ya St.Francis Referral hospital
2) Chuo kikuu cha Afya St.Francis University College of Health and Alied science(SFUCHAS) kwa ngazi ya Udaktari na kozi zingine za Afya.
3) Taasisi ya utafiti (IHI) inayohusika na utafiti wa malaria,HIV ,TB na tafiti zingine kibao.
4) Chuo cha Udaktari kwa ngazi ya clinical officer kinachoitwa TTCIH
5) chuo cha Nersing Edger malanta school of nursing.
6) Hospital kubwa na ya pili kwa kutoa huduma ya kansa ukiachana na Ocean road na hii imefunguliwa mwaka jana wana mashine zote ikiwemo CT scan,Mammography,MRI na huduma zote za wagonjwa kansa, inaitwa GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL IFAKARA.Ndo mana wagongwa wote wa kansa kwa kanda ya kati na kusini wanalazimika kwenda Ifakara kupata tiba badala ya Ocean Road unless kama mgonjwa ana option ya kwenda Ocean Road kwa sababu ya jina.
7) Chuo cha maendelo ya jamiii kilichopo kibaoni.
8) shule zenye ufaulu mkubwa kwa ngazi ya elimu ya sekondari zinaongoza kimkoa kama hiyo ya wasichana inayoitwa Benignis Sec school iliyopo jimboni mjini hapo..
9) kambi wa wagonjwa wa ukoma (leprosy rehabilitation centre)
Kwa hiyo unapoongelea kwanini Ifakara inakuja juu ni kwa sababu ya mwingiliano mkubwa wa watu kupitia taasisi hizo..
IFAKARA ibadilika kila siku ..ukienda leo na mtu atakayeenda week ijayo mabadiliko ni makubwa sana ..hebu jaribu kutathmini uwepo wa vyuo hivyo pamoja na taasis kubwa kubwa kwa mfano kituo kikubwa cha HIV/malaria kipo ifakara ..
Kule CDC/CDCI wameweka kambi kule...Ndo mana mji unakimbia kwa kasi ya ajabu sana...
WATU WANAZIDI KUWEKEZA KILA KUKICHA, KUMBI NA VIBE ZOTE ZA STAREHE ZIMEFUNGULIWA KULE.
sasa kwa mfano wanachuo wanapopata boom bata yote wanalia Ifakara huoni kwamba mji unachangamka sana kuliko sehemu ambazo hazina vyuo na taasisi hizo...?!!
ALL IN ALL Mji umefikia hadhi ya kuitwa manispaa kwa sababu ya population density pamoja na maendeleo...
MJI HUKUWA KWA KASI KUTOKANA NA HUDUMA ZA JAMII...mji ukikosa taasis au vyuo au shule kubwa kubwa lazima huchoka mapema..
ANgalia mfano wa wilaya ya Mbulu ambayo ndo wiliya ya kwanza kabisa Tz kwani kipindi inakuwa wilaya ndo mji wa mombasa ulipata kuwa mji pia ,lakini ndo wilaya ya mwisho kabisa kwa maendeleo inazidiwa na mji wake mdogo wa Hydom ambapo kuna hospital kubwa ya rufaaa ya Hydom Lutheran Hospital ..
Ukienda Hydom pamechangamka kuliko mbulu mjini hii inatokana na huduma zinazopatikana kule..vyuo vya afya pamoja na hospital ya rufaa zinapafanya hydom pachangamke kuliko mbulu mji...
LIKEWISE IFAKARA ..muda si mrefu inakuwa level za kahama au Babati mji..so uwepo wa huduma hizo unaifanya IFAKARA iwe wilaya ya kwanza kwa maendeleo mkoa mzima wa morogoro ukiachana na manispaa (mjini)...
Soon mkoa wa morogoro unaenda kudolola kama ilivyo kahama ndani ya Shinyanga..
So huhitaji kufanya Ubishi kama hujafika Ifakara these 3 passed years maendeleo ni makubwa sana..
Ni kweli tupu. Baada ya Manispaa ya Moro, inafuata Ifakara!