Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

Kinachoufanya mji wa IFAKARA kuwa juu ni uwepo wa vitu vifuatvyo

1) Hospital kubwa ya Rufaa ya St.Francis Referral hospital

2) Chuo kikuu cha Afya St.Francis University College of Health and Alied science(SFUCHAS) kwa ngazi ya Udaktari na kozi zingine za Afya.

3) Taasisi ya utafiti (IHI) inayohusika na utafiti wa malaria,HIV ,TB na tafiti zingine kibao.

4) Chuo cha Udaktari kwa ngazi ya clinical officer kinachoitwa TTCIH

5) chuo cha Nersing Edger malanta school of nursing.

6) Hospital kubwa na ya pili kwa kutoa huduma ya kansa ukiachana na Ocean road na hii imefunguliwa mwaka jana wana mashine zote ikiwemo CT scan,Mammography,MRI na huduma zote za wagonjwa kansa, inaitwa GOOD SAMARITAN CANCER HOSPITAL IFAKARA.Ndo mana wagongwa wote wa kansa kwa kanda ya kati na kusini wanalazimika kwenda Ifakara kupata tiba badala ya Ocean Road unless kama mgonjwa ana option ya kwenda Ocean Road kwa sababu ya jina.

7) Chuo cha maendelo ya jamiii kilichopo kibaoni.

8) shule zenye ufaulu mkubwa kwa ngazi ya elimu ya sekondari zinaongoza kimkoa kama hiyo ya wasichana inayoitwa Benignis Sec school iliyopo jimboni mjini hapo..

9) kambi wa wagonjwa wa ukoma (leprosy rehabilitation centre)


Kwa hiyo unapoongelea kwanini Ifakara inakuja juu ni kwa sababu ya mwingiliano mkubwa wa watu kupitia taasisi hizo..

IFAKARA ibadilika kila siku ..ukienda leo na mtu atakayeenda week ijayo mabadiliko ni makubwa sana ..hebu jaribu kutathmini uwepo wa vyuo hivyo pamoja na taasis kubwa kubwa kwa mfano kituo kikubwa cha HIV/malaria kipo ifakara ..

Kule CDC/CDCI wameweka kambi kule...Ndo mana mji unakimbia kwa kasi ya ajabu sana...


WATU WANAZIDI KUWEKEZA KILA KUKICHA, KUMBI NA VIBE ZOTE ZA STAREHE ZIMEFUNGULIWA KULE.

sasa kwa mfano wanachuo wanapopata boom bata yote wanalia Ifakara huoni kwamba mji unachangamka sana kuliko sehemu ambazo hazina vyuo na taasisi hizo...?!!

ALL IN ALL Mji umefikia hadhi ya kuitwa manispaa kwa sababu ya population density pamoja na maendeleo...

MJI HUKUWA KWA KASI KUTOKANA NA HUDUMA ZA JAMII...mji ukikosa taasis au vyuo au shule kubwa kubwa lazima huchoka mapema..

ANgalia mfano wa wilaya ya Mbulu ambayo ndo wiliya ya kwanza kabisa Tz kwani kipindi inakuwa wilaya ndo mji wa mombasa ulipata kuwa mji pia ,lakini ndo wilaya ya mwisho kabisa kwa maendeleo inazidiwa na mji wake mdogo wa Hydom ambapo kuna hospital kubwa ya rufaaa ya Hydom Lutheran Hospital ..

Ukienda Hydom pamechangamka kuliko mbulu mjini hii inatokana na huduma zinazopatikana kule..vyuo vya afya pamoja na hospital ya rufaa zinapafanya hydom pachangamke kuliko mbulu mji...

LIKEWISE IFAKARA ..muda si mrefu inakuwa level za kahama au Babati mji..so uwepo wa huduma hizo unaifanya IFAKARA iwe wilaya ya kwanza kwa maendeleo mkoa mzima wa morogoro ukiachana na manispaa (mjini)...

Soon mkoa wa morogoro unaenda kudolola kama ilivyo kahama ndani ya Shinyanga..

So huhitaji kufanya Ubishi kama hujafika Ifakara these 3 passed years maendeleo ni makubwa sana..

Ni kweli tupu. Baada ya Manispaa ya Moro, inafuata Ifakara!
 
Daa, ndo nimoena hii post, utafikiri tulikua pamoja. Wilaya au miji hii ina compete na Manispaa nyingi tu hapa Tanzania: Masasi, Tunduma, Kahama hiyo tayari, Tarime, Ifakara ni ya pili baada ya Morogoro, Korogwe ingawa naona kama inashuka sasa, lakini Makambako nayo siyo kubwa ila inajitahidi
Angalia population density utapata ukubwa wa sehemu husika mfano hapo tunduma eneo lake Ni dogo mno ukilinga Nisha na makambako yenye km za mraba 885 huwezi ukaibeza makambako Ni kubwa mno
 
Moja ya project ambazo zinazidi kukuza vi sub town Kama kipagamo ndani ya mji wa makambako
FB_IMG_16467332300183818.jpg
FB_IMG_16467326098285530.jpg
 
Angalia population density utapata ukubwa wa sehemu husika mfano hapo tunduma eneo lake Ni dogo mno ukilinga Nisha na makambako yenye km za mraba 885 huwezi ukaibeza makambako Ni kubwa mno
Siyo kweli
 
Siyo kweli
Tupe km za mraba za tunduma Kama una bisha maana wenzio tumefatilia usije ukaunganisha ihanda, vwawa na mlowo ambako ndo makao makuu ya mkoa wa songwe na usije ukachanganya na upande wa Zambia na ukitaka kupata jibu Google hapo wanakupa majibu Ni km za mraba 86 , Sasa utalinganisha na 886 kaka duh 😎 ambalo kwa makambako Ni eneo la kata moja tu Kama lyamkena ndo yenye km za mraba hizo
 
Tupe km za mraba za tunduma Kama una bisha maana wenzio tumefatilia usije ukaunganisha ihanda, vwawa na mlowo ambako ndo makao makuu ya mkoa wa songwe na usije ukachanganya na upande wa Zambia na ukitaka kupata jibu Google hapo wanakupa majibu Ni km za mraba 86 , Sasa utalinganisha na 886 kaka duh [emoji41] ambalo kwa makambako Ni eneo la kata moja tu Kama lyamkena ndo yenye km za mraba hizo

Mji wa Makambako una square kilometa 886? Yaani kilometa karibu 40x 22?
You are joking! Kama unazungumzia Eneo la kijografia labda, ambayo siyo hoja. Hoja ni mji angalau urban proper(makaz ya mjini pekee kwa level ya Kitanzania kwani Urban proper kwa wenzetu ni kama Posta, Makumbusho Dar!) Hivyo narudia, si kweli!
 
Makambako sio kubwa kushinda tunduma kwani kuna miji mikubwa kwa idadi ya watu na miji mikubwa kwa makazi vyote hivyo tunduma iko juu

Makambako sio kubwa kushinda tunduma kwani kuna miji mikubwa kwa idadi ya watu na miji mikubwa kwa makazi
Mji wa Makambako una square kilometa 886? Yaani kilometa karibu 40x 22?
You are joking! Kama unazungumzia Eneo la kijografia labda, ambayo siyo hoja. Hoja ni mji angalau urban proper(makaz ya mjini pekee kwa level ya Kitanzania kwani Urban proper kwa wenzetu ni kama Posta, Makumbusho Dar!) Hivyo narudia, si kweli!
Sina haja ya kubishana Sana nikapoteza nguvu zangu kuna mfumo wa anuani za makaz unaendelea na Kuna zoezi la sensa lipo mbele yetu kwote hko utapata data nzuri tu
vyote hivyo tunduma i
 
Mji wa Makambako una square kilometa 886? Yaani kilometa karibu 40x 22?
You are joking! Kama unazungumzia Eneo la kijografia labda, ambayo siyo hoja. Hoja ni mji angalau urban proper(makaz ya mjini pekee kwa level ya Kitanzania kwani Urban proper kwa wenzetu ni kama Posta, Makumbusho Dar!) Hivyo narudia, si kweli!

Mji wa Makambako una square kilometa 886? Yaani kilometa karibu 40x 22?
You are joking! Kama unazungumzia Eneo la kijografia labda, ambayo siyo hoja. Hoja ni mji angalau urban proper(makaz ya mjini pekee kwa level ya Kitanzania kwani Urban proper kwa wenzetu ni kama Posta, Makumbusho Dar!) Hivyo narudia, si kweli!
Kwan ukubwa wa mji tuna angalia nini si kijiografia na eneo ambalo Lina kuwa coverd na makazi
 
Makambako sio kubwa kushinda tunduma kwani kuna miji mikubwa kwa idadi ya watu na miji mikubwa kwa makazi vyote hivyo tunduma iko juu
Sorry km squre za eneo la makazi tunduma unazifahamu na makambako unazifahamu hebu jaribu kufatilia hizo takwimu ndo utajua Ni nini namaanisha
 
Mji wa Makambako una square kilometa 886? Yaani kilometa karibu 40x 22?
You are joking! Kama unazungumzia Eneo la kijografia labda, ambayo siyo hoja. Hoja ni mji angalau urban proper(makaz ya mjini pekee kwa level ya Kitanzania kwani Urban proper kwa wenzetu ni kama Posta, Makumbusho Dar!) Hivyo narudia, si kweli!
FB_IMG_16230805881216597.jpg

Hapo Ni kata mbili tu zilizopo pembezon zingine zote 10 zipo town na Ni kubwa sio kata ndogo ndogo kama tunduma nimekupa mfano tu lyamkena Ina km 86 hebu nambie katikati ya mji wa tunduma wana km ngapi za lami za mitaa kibiashara na mapato kwel tunduma imeizid makambako ila eneo la makazi hapana
 
Hapa Ni ikelu project zinaendelea Ni sub town iliyo ndani ya mji wa makambako takriban km 20 kutoka katikati ya mji wa mkambako na makazi yameungana songea road hii ndo makambako mpya ndani ya mkoa wa njombe mambo Ni fire kila kona
IMG_20220306_103116~2.jpg
 
View attachment 2145127
Hapo Ni kata mbili tu zilizopo pembezon zingine zote 10 zipo town na Ni kubwa sio kata ndogo ndogo kama tunduma nimekupa mfano tu lyamkena Ina km 86 hebu nambie katikati ya mji wa tunduma wana km ngapi za lami za mitaa kibiashara na mapato kwel tunduma imeizid makambako ila eneo la makazi hapana

Utakua hujui hesabu nafikiri! Makambako kwamba inaweza kuifikia Manispaa ya Ilala Dar? Au karibu ya mji wote wa Dodoma? Kapige hesabu vizuri!
 
Kuanzia kibaoni,mjini hadi Lipangalala,mjini ni wa moto sana.
Hata harakati za kibiashara Ifakara ziko juu sana.

Ifakara iwe mkoa alafu wilaya zake ziwe Mlimba,malinyi,Ulanga(mahenge) na Kilombero(kidatu)
Wewe ni mluguru enheee,basi kaa huko kwenu ifakara...mbona wa njombe hatujifananishi,yaani tunashindana na wakati wetu sisi wenyewe..
 
Back
Top Bottom