Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

Mji wa Ifakara ni mzuri kuliko Njombe mjini

Ninaposema makazi namaanisha eneo la mji wa makambako sio mpaka huko kwenye mashamba ya viazi na parchichi eneo linalounda mji wa makambako sio halmashauri ya makambako yaani sehemu ya makazi sio mashamba ukiambiwa onesha mji wa makambako utaonesha majumba sio mashamba
 
Ninaposema makazi namaanisha eneo la mji wa makambako sio mpaka huko kwenye mashamba ya viazi na parchichi eneo linalounda mji wa makambako sio halmashauri ya makambako yaani sehemu ya makazi sio mashamba ukiambiwa onesha mji wa makambako utaonesha majumba sio mashamba
Hahaha acha kuleta point zisizo na mashiko Kama hujui miji kaa kimya tumekwambi makambako eneo lake la mji kwa Sasa lime be coverd with house Sasa Ni nani aanze kuongerea habari za mashamba
 
Utakua hujui hesabu nafikiri! Makambako kwamba inaweza kuifikia Manispaa ya Ilala Dar? Au karibu ya mji wote wa Dodoma? Kapige hesabu vizuri!
Hesabu nipo vizur Sana shida yako unaangalia mlundikano was nyumba na si ukubwa wa eneo
 
Mimi niseme bado kuna Watanzania wajinga sana. Yaani mtu anadhani mji hupewa hadhi ya mkoa kwa sababu ya maendeleo yake. Hivi pale Kibaha pameendelea sana mpaka hakawekwa makao makuu ya mkoa wa Pwani?

Kuna sehemu inaitwa Bariadi, ni makao makuu ya mkoa wa Simiyu. Hivi Bariadi kuna vibe kama la Kahama? Mbona Kahama ni halmashauri tu ya mji?

Ipo shida sana. Watanzania wengi ni wajinga.
 
Hesabu nipo vizur Sana shida yako unaangalia mlundikano was nyumba na si ukubwa wa eneo
Kuna eneo la makazi na eneo la masha eneo la makazi ndio huitwa mji na mashamba hayaundi mji hivyo mji wa ilala ni mkubwa kuliko makambako namaanisha eneo la makazi linamrundikano wa nyumba nyingi
 
Hesabu nipo vizur Sana shida yako unaangalia mlundikano was nyumba na si ukubwa wa eneo

Ukubwa wa eneo kwa maana ya Outskirt au Urban proper? Kama na vijiji vya pembezoni sidhan kama inaakisi maana halisi ya mji!
 
Nauli,kuna kama Kilometers 10 5 hadi unafika mjini
Njombe mlichotuzidi ifoza labda Hilo baridi lenu la kutembea na makoti muda wote ndio maana mnatia aibu mkienda Dar joto Kali lakini mnavaa makoti yenu na jua lote la Dar


Kingine mlichotuzidi labda mmetuzidi UKIMWI tu zaidi ya hapo hakuna mlichotuzidi
OVER
 
Kuanzia kibaoni,mjini hadi Lipangalala,mjini ni wa moto sana.
Hata harakati za kibiashara Ifakara ziko juu sana.

Ifakara iwe mkoa alafu wilaya zake ziwe Mlimba,malinyi,Ulanga(mahenge) na Kilombero(kidatu)
Kuna barabara ngapi za lami hapo mjini Ifakara?

Huwezi linganisha Ifakara na Njombe hata kidogo. Ifakara ni mapori ya kulima mpunga na miwa na migomba.
 
Hivi inakuaje, Ifakara bado ni wilaya lakini Njombe ni mkoa? Maana Ifakara kuna maendeleo kuliko Njombe mjini.
FB_IMG_16419032754961153.jpg
Mkoa wa njombe upo vizuri tofauti unavo fikiria wewe kimakazi hizo halmashauri nne zimeungana kati ya halashauri sita
A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania.jpg
 
Eti Njombe juzi waliomba iwe Manspaa. Kamji kadogo ka kishamba eti iwe Manspaa.
 
Kuanzia kibaoni,mjini hadi Lipangalala,mjini ni wa moto sana.
Hata harakati za kibiashara Ifakara ziko juu sana.

Ifakara iwe mkoa alafu wilaya zake ziwe Mlimba,malinyi,Ulanga(mahenge) na Kilombero(kidatu)
matumizi mabaya hayo EA tunatakiwa kuwe na mikoa7 tuuu.
 
Najua mtoa mada alikuja kupima upepo ila ukweli anajua mashamba ya mpunga hayawezi lingana na Njombe bustani ya Mungu..

Tunaomba video ya Ifakara kama ipo tafadhari.
 
Back
Top Bottom