Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makambako haiundi wilaya ya njombe inawilaya yake inaitwa ludewa ila inaunda mkoa wa njombe wilaya ya njombe inaundwa na njombe mji na njombe vijijini
Nikifikiria week ilopita nimekaa Iragua siku nane kisa daraja limekatika pale stand ya nyanya,daah wabunge wa hayo maeneo miyeyusho sana.By the way nimeishi huko kiukwel mkoa wa Morogoro unahitaji kugawanywa ili kusogeza huduma za kijamii karibu sijui lini hilo bonde watalifanya kuwa mkoaNa ukienda Ifakara msimu wa kung'olelea mpunga (march mpaka Mei) aisee huwa kunapooza sana!
Yaani mishe mishe na kuchangamka ni wakati wa mavuno na kiangazi (Juni mpaka Disemba)! Mfano ukienda leo Ifakara, ni lazima utafurahia zile mishe mishe za watu. Ila baada ya hapo, kunadorora tena!
Nope, 80 %ya viazi ni Mbeya uporoto huko.chips unakula hapa dsm zimelimwa njombe.
Ni kweli makambako iko nyuma huku kabla ya kufika Njombe, ukifika Njombe km unaelemea Songea unakata kuli pale ndiyo unapata uelekeo wa Ludewa (Monilii)Yan jamaa Kama hujui tulia tukueleweshe ambao tuko eneo husika wilaya ya njombe Ina wakurugenzi watatu Kuna wa mji njombe ,wa mji makambako na wawilaya na hizi ndizo zinazo unda makao makuu ya mkoa wa njombe na ludewa inajitegemea haina mji ile ko Ina onekana hata njombe hujawai fika huwezi sema makambako ipo ludewa hata kijiografia Ni tofauti mno
MASASI pa moto sanaNiongezee tu kwa TZ wilaya ambazo zinavibe ni pamoja Masasi, Mbinga,Kahama, Ifakara na Tunduma hizi sehemu huduma zote muhimu zipo
Nikifikiria week ilopita nimekaa Iragua siku nane kisa daraja limekatika pale stand ya nyanya,daah wabunge wa hayo maeneo miyeyusho sana.By the way nimeishi huko kiukwel mkoa wa Morogoro unahitaji kugawanywa ili kusogeza huduma za kijamii karibu sijui lini hilo bonde watalifanya kuwa mkoa
makambako iko wilaya ya wanging'ombe
ludewa ni wilaya inajitegemea
Mkuu, makambako si wilaya ya wanging'ombe?Yan jamaa Kama hujui tulia tukueleweshe ambao tuko eneo husika wilaya ya njombe Ina wakurugenzi watatu Kuna wa mji njombe ,wa mji makambako na wawilaya na hizi ndizo zinazo unda makao makuu ya mkoa wa njombe na ludewa inajitegemea haina mji ile ko Ina onekana hata njombe hujawai fika huwezi sema makambako ipo ludewa hata kijiografia Ni tofauti mno
Mkuu, makambako si wilaya ya wanging'ombe?
Mkuu nakubaliana nawe, vile vile maumbile ya kijografia yapo tofauti: Njombe mandhari (view) yake iko vizuri sana iliyopangwa kwa mitelemko na miinuko iliyojipanga, tofauti na Ifakara bonde la mpunga na ndio maana hata nyumba za Serikali wameanua kuzijenga Kibaoni. Ifakara hata kwa Makambako haipati.Labda anaiongelea Ifakara ya Katindiuka, Mwembetogwa, Mlabani, Silent Inn, Minepa, Viwanja 60, Lipangalala, Lumemo, Michenga, Ihanga, au Kihogosi!
Ifakara ni mji wa zamani na wa kihistoria. Ila kuulinganisha na Njombe, kiukweli ni uonevu. Labda Ifakara uilinganishe na Kilosa. Hapo sawa. Ufupi tu Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Kuanzia kwenye kipato na pia majengo.
Hao matajiri wanaishi makete au dar ? Sasa kama wanaishi dar wanainufaisha vipi makete si bora wangeishi makete maduka yao yakawa makete
wamekimbia UCHAWI MAKETE....Hao matajiri wanaishi makete au dar ? Sasa kama wanaishi dar wanainufaisha vipi makete si bora wangeishi makete maduka yao yakawa makete
Walimu uvaaji wenu bwana
Njombe nimeishi miaka 3,nakujua hadi Lupembe,ukalawa,made kesho,kifanya,ikondo.
Njombe mjini ni sehemu ndogo sana,toka pale Hospital ya wilaya hadi uwanja wa ndege mji umeisha
Niongezee tu kwa TZ wilaya ambazo zinavibe ni pamoja Masasi, Mbinga,Kahama, Ifakara na Tunduma hizi sehemu huduma zote muhimu zipo
Mkoa wa Morogoro umekosa watetezi. Viongozi wengi wamependa kupata na kuhidhi Ardhi wanahofu au maslahi binafsi kutokuugawa Mkoa wa Morogoro. Mkoa una vigezo vyote vya kuzaa Mikoa Mingine - Ukubwa Wa Eneo, Idadi yq Watu na Shughuli za Kiuchumi tangu pale Mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Mwanza na Shinyanga ilipokuwa inagawanywa kuzaa Mikoa Mingine. Mikoa mingine ilikuwa Upendeleo Tu wa Wazi kuvutia Uwekezaji wa Raslimali za Taifa kwa Makao Makuu ya Mikoa. Mji wa Mpanda na Kilosa kihistoria inafanana na Wilaya ya Kilosa ina Idadi kubwa ya Watu na Uchumi Mkonge iliufanya Maarufu lakini haukufanywa kuwa Mkoa- kulikoni kama sio Upendeleo wa aliekuwa WM Mhe MPP. Mkoa wa Morogoro sasa iwe na isiwe uzae Mikoa Mitatu (1) Morogoro - Makao Makuu Morogoro (2) Rubeho au Wami Makao Makuu Kilosa na (3) Kilombero au Ruaha au Ulanga - Makao Makuu Malinyi au Ifakara.
Sasa mkuu huo Mji si unachangamshwa kibiashara na wageni! Hasa Wasukuma. Ila ukija kwa wenyeji, mambo siyo mepesi hata kidogo.
Nimeishi miaka mingi sana Ifakara. Ila ukiilinganisha na Njombe, naona kama Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Ifakara ingelinganishwa na Mji kama Kilosa vile, hakika Ifakara ingetisha mbaya.