Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Nimecheka hadi watu wamenishangaa🤣🤣🤣🤣Ifakara bado sana kudadeq. Labda kama maendeleo ni pepeta na bajaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka hadi watu wamenishangaa🤣🤣🤣🤣Ifakara bado sana kudadeq. Labda kama maendeleo ni pepeta na bajaji.
Ifakara siyo shamba, miye nilienda kupalilia makaburi kule ni kwetu.Umeona nini cha ajabu huko mashambani?
Sasa Mji wa msimu si ni sawa na gulio? Gulio town 😂😂.Wakati wa kung'olelea ni kipindi cha masika mvua ni nyingi sana, so kupooza ni kawada kwasababu watu wengi wanashindwa kutoka majumbani kwao sababu ya mvua na radi nyingi. Punguza vikwazo Ifakara kumekucha ndugu.
Mipunga mnalima wapi kama sio huko? Yaani mvua moja Kamji kote kanaingia kwenye mafuriko 😂😂Ifakara siyo shamba, miye nilienda kupalilia makaburi kule ni kwetu.
Angalia hayo madibwi mjini hivi huo ni Mji wa kuishi kweli?View attachment 2000118
Hii picha nilipiga msimu wa mvua
Kama kweli wewe umekulia Ifakara
Je hii mashine unaifahamu?
Hako Kamji hakapo hata top 40 ya miji yenye mapato Tzn ..Billion ngapi kwa mwaka!?
Weee kwenu wapi acha kumwekua mwekua km lupatu.Mipunga mnalima wapi kama sio huko? Yaani mvua moja Kamji kote kanaingia kwenye mafuriko 😂😂
Njombe kwetu looks like this 👇Weee kwenu wapi acha kumwekua mwekua km lupatu.
Sasa hapa ndo umeongea niniwahaya huwa wanajifanya wamejenga kwao, ila ukweli ni kwamba, watu pekee ninaowapongeza kwa kujenga kwao ni wachagga, wamejitahidi sana kwa hilo na vijiji vya uchagani ni tofauti kabisa na vijiji vya mikoa mingine. tuwapongeze.
Mwongo kabisa yaaani mji uliotawanyika Ramadhani,Mji mwema,Uzunguni,Lunyanywi,Uwemba,Luponde,Unasema mji mdogo hebu niambie Jiji la Dar es Salaam lilivyo unafika bunju mwisho wa Dar,maili moja,Mkuranga na Pugu toka posta hadi mpakani ni almost 25 km je tuseme Dar haikua na hadhi ya jiji kwa udogo wakeNjombe nimeishi miaka 3,nakujua hadi Lupembe,ukalawa,made kesho,kifanya,ikondo.
Njombe mjini ni sehemu ndogo sana,toka pale Hospital ya wilaya hadi uwanja wa ndege mji umeisha
Mleta mada ulilewa ulanzi yaani ifakara kuifananisha na Njombe,utasema kilosa iko sawa na Makambako Sasa😀😀😀Hivi inakuaje, Ifakara bado ni wilaya lakini Njombe ni mkoa? Maana Ifakara kuna maendeleo kuliko Njombe mjini.
Kwa hiyo madai yako ni yapi?kama Ifakara umeipenda so uhamie hapo?Hivi inakuaje, Ifakara bado ni wilaya lakini Njombe ni mkoa? Maana Ifakara kuna maendeleo kuliko Njombe mjini.
Yaani njombe wakinga na wabena wakiacha Mambo yakiwakiwaki ya kukazia wageni ni mkoa mmoja wenye maendeleo ya makubwa Sana yaani huku wachina na wakenya wapo Sana Ila wahindi na wachaga wanapigwa spanner na mkinga Ila bila ya hivyo njombe ni Moto wakuotea mbali
Weak defenceWakati wa kung'olelea ni kipindi cha masika mvua ni nyingi sana, so kupooza ni kawada kwasababu watu wengi wanashindwa kutoka majumbani kwao sababu ya mvua na radi nyingi. Punguza vikwazo Ifakara kumekucha ndugu.
Kwa hivyo ilivyo unadhani imefika hata 40% ya Njombe
Kwa hivyo ilivyo unadhani imefika hata 40% ya Njombe
View attachment 2022565
Hiyo ni makambako tu