FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
Kwa Tanzania yetu Nahisi Maeneo yaliyopangwa ni machache ukilinganisha na maeneo yenye Slum hivyo nashangaa Mtu kuinyooshea kidole Mwanza wakati hili ni janga la karibu kila Mkoa, hakuna Mkoa usio kuwa na Uswahilini Tanzania hii kama upo nitajie nikutoeni nishai