Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Yani Mwanza ina fanana na Bukoba ? Haya ni ya kweli mkuu?ukitoa Dar hakuna mji wa kuufikia mwanza kwa mzunguko wa pesa , hata tukeshe mpaka asubuhi ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Mwanza ina fanana na Bukoba ? Haya ni ya kweli mkuu?ukitoa Dar hakuna mji wa kuufikia mwanza kwa mzunguko wa pesa , hata tukeshe mpaka asubuhi ..
Mwanza bwana......labda uwe machinga tuHabari viongozi,
Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
Sema Moja kwa MojaIla arusha kumekucha na dodoma so ni rahisi ofisi mpya kuanzishwa..na hata arusha yenyewe ilikuwa chali muda mrefu sana ni miaka hii mitatu
Bukoba maisha magumu SanaWew mhaya ...kwenu bukoba ndio Kuna mzunguko mkubwa
Lini mwanza iliwahi kuwa juu ya Arusha kwenye suala la mikutano ..mbona hii inajulikana toka zamani kuwa conference nyingi zinafanyika Arusha, nyingine dar na nyingine Mwanza..Mimi nimepinga hoja ya kusema mwanza sa hv hamna semina .kitu ambacho ni uongoWewe hujui unachotaka sio , nimekuambia kwa sasa haipewi kipaumbele hata seminars hazipo zimehamia Arusha ....Ni suala la muda ..Ule upepo kama jiji la pili umekata , ni wapi nimekuambia kuna battle?
Kuna barua 5 hapa ofisini , seminars zote ni Arusha kitu ambacho sio kawaida miaka ya nyuma , ingekuwa 3 au 4 ni Mwanza na Moro...Kiufupi srikali hii sio nzuri kwa upande wa jiji la Mwanza.
ARUSHA Kwa ma doni Mzee baba.Kwahiyo kati ya Arusha na mwanza wapi kuna mzunguko mkubwa wa pesa ?
Kabisa nimeshangaa jamaa anasema mwanza kuna mzunguko wa hela kuzidi ArushaARUSHA Kwa ma doni Mzee baba.
Kipind cha corona Arusha ilikuwa hoi kabisa , watu waliuza hotels zao ....Sasa najua kuna Makonda kule ndio analeta vibes.Lini mwanza iliwahi kuwa juu ya Arusha kwenye suala la mikutano ..mbona hii inajulikana toka zamani kuwa conference nyingi zinafanyika Arusha, nyingine dar na nyingine Mwanza..Mimi nimepinga hoja ya kusema mwanza sa hv hamna semina .kitu ambacho ni uongo
Hiyo Zanzibar mkuu ukienda Zanzibar ikifika saa 4 maduka yote yamefungwq ata ukitaka panado hakuna sehemu utakayo pata, yani ata sehemu zao za starehe mfano Bar zipo sehemu moja kama Soko, yani wanywaji wa mji wote mnakutana sehemu moja kama Giuliani au mpo uwanja wa mpira.Watu wa mwanza ovyo sana, maduka wanafunga saa 12 mji mzima, maduka wanafungua saa 2 asubuhi...
Mwanza hatuna international center lakin hatupoiKipind cha corona Arusha ilikuwa hoi kabisa , watu waliuza hotels zao ....Sasa najua kuna Makonda kule ndio analeta vibes.
ona hili jehuMwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa
Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.
Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba
Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.
Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.
Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba
Vijana wametelekeza wazazi wao
Wanaamini uchawi Sana
Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
Mkuu unaposema Mwanza utakuta mzee anatembeza bguo za mitumba basi anaweza kua Siyo kwao uko Mwanza Ameenda kujitafuta. Mfano kwa Mzaliwa wa Dar kumkuta anatembeza Nguo za mtumba ni vigimuMwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa
Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.
Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba
Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.
Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.
Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba
Vijana wametelekeza wazazi wao
Wanaamini uchawi Sana
Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
Kabisa nimeshangaa jamaa anasema mwanza kuna mzunguko wa hela kuzidi Arusha
Hizo biashara ni solo hazitengenezi nafasi za ajira? Sasa biashara au uchuuziMwanza ni jiji la kibiashara siyo jiji la kikazi
Mwanza nenda na mtaji tu utapiga pesa vibaya sana
Nimeumia sana, kufananisha Mwanza na Bukoba.ukitoa Dar hakuna mji wa kuufikia mwanza kwa mzunguko wa pesa , hata tukeshe mpaka asubuhi ..
Unajivunia mikutano wa waganga wa kienyeji(wachawi) 😆😆😆Mwanza hatuna international center lakin hatupoiView attachment 3124942View attachment 3124943View attachment 3124944
Umekaa bugando ..!!!! bugando sehem gani🤣Mimi nimekaa Bugando
Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k
Kwenu mbeya mna mikutano gan ..hata ya TYCS ,ASSA hampati ,😀🤡🤡🤡Unajivunia mikutano wa waganga wa kienyeji(wachawi) 😆😆😆