Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

Habari viongozi,

Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
Mwanza bwana......labda uwe machinga tu
 
Ila arusha kumekucha na dodoma so ni rahisi ofisi mpya kuanzishwa..na hata arusha yenyewe ilikuwa chali muda mrefu sana ni miaka hii mitatu
Sema Moja kwa Moja

Paul makonda ameamsha Kila kitu
 
Wew mhaya ...kwenu bukoba ndio Kuna mzunguko mkubwa
Bukoba maisha magumu Sana

Chakula utapata na pakulala Ila kuwa na maisha makubwa kule Bukoba na mwanza ngumu

Maana Kazi ziizopo ni Kuvua samaki na kuendesha boda boda

Uchumi unategemea boda boda na kuuza samaki tu .
 
Wewe hujui unachotaka sio , nimekuambia kwa sasa haipewi kipaumbele hata seminars hazipo zimehamia Arusha ....Ni suala la muda ..Ule upepo kama jiji la pili umekata , ni wapi nimekuambia kuna battle?

Kuna barua 5 hapa ofisini , seminars zote ni Arusha kitu ambacho sio kawaida miaka ya nyuma , ingekuwa 3 au 4 ni Mwanza na Moro...Kiufupi srikali hii sio nzuri kwa upande wa jiji la Mwanza.
Lini mwanza iliwahi kuwa juu ya Arusha kwenye suala la mikutano ..mbona hii inajulikana toka zamani kuwa conference nyingi zinafanyika Arusha, nyingine dar na nyingine Mwanza..Mimi nimepinga hoja ya kusema mwanza sa hv hamna semina .kitu ambacho ni uongo
 
Lini mwanza iliwahi kuwa juu ya Arusha kwenye suala la mikutano ..mbona hii inajulikana toka zamani kuwa conference nyingi zinafanyika Arusha, nyingine dar na nyingine Mwanza..Mimi nimepinga hoja ya kusema mwanza sa hv hamna semina .kitu ambacho ni uongo
Kipind cha corona Arusha ilikuwa hoi kabisa , watu waliuza hotels zao ....Sasa najua kuna Makonda kule ndio analeta vibes.
 
Watu wa mwanza ovyo sana, maduka wanafunga saa 12 mji mzima, maduka wanafungua saa 2 asubuhi...
Hiyo Zanzibar mkuu ukienda Zanzibar ikifika saa 4 maduka yote yamefungwq ata ukitaka panado hakuna sehemu utakayo pata, yani ata sehemu zao za starehe mfano Bar zipo sehemu moja kama Soko, yani wanywaji wa mji wote mnakutana sehemu moja kama Giuliani au mpo uwanja wa mpira.
 
Kipind cha corona Arusha ilikuwa hoi kabisa , watu waliuza hotels zao ....Sasa najua kuna Makonda kule ndio analeta vibes.
Mwanza hatuna international center lakin hatupoi
20241014_173325.jpg
Screenshot_20241014-173224.png
Screenshot_20241014-173132.png
 
Mwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa

Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.

Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba

Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.

Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.

Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba

Vijana wametelekeza wazazi wao

Wanaamini uchawi Sana

Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
ona hili jehu
 
Mwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa

Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.

Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba

Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.

Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.

Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba

Vijana wametelekeza wazazi wao

Wanaamini uchawi Sana

Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
Mkuu unaposema Mwanza utakuta mzee anatembeza bguo za mitumba basi anaweza kua Siyo kwao uko Mwanza Ameenda kujitafuta. Mfano kwa Mzaliwa wa Dar kumkuta anatembeza Nguo za mtumba ni vigimu
 
Back
Top Bottom