Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
takataka 🗑🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡Huna unalojua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
takataka 🗑🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡Huna unalojua
Huna unalojua ..moron 🤡 🤡 🤡 🤡 🤡Kwani lini Mwanza kulikuwa na semina? Hakuna hata kumbi za maana huko,viwanda vimehamia Shinyanga.
Nyie vueni dagaa tuu 🤣🤣
Taka taka ni wew unayeropoka hapa .takataka 🗑
Vikindu pekee Kuna ajira nyingi za wiwanda kuliko Kanda ya ziwa yote😀😀Habari viongozi,
Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
Mwanza ni bonge la jijiHaaahaa 😂 🤣 unataka kusema mwanza ni likijiji likubwa lililo changamka Kama yule mwenzetu alivyo remark Jiji la mbeya.
Mwanza bwana Bado Sana kwa kweli
Zilikuwepo maika kabla ya mzee , tumeenda sana hapo mwanza.
🖕Taka taka ni wew unayeropoka hapa .
Ili mradi tu uonekane nawe mchangiaji
Eti mwanza haikui kwa facts zipi wew 🤡🤡🤡
Ulienda mwanza ya wapi?Sahihi, nilishangaa sana yaani mji mzima saa 12 jioni kimyaa, ...
Usifananishe sisi na wapumbavu , mimi ndio nakuambia sasa , waulize wenzie au tuhesabu seminar kubwa uone?Umeenda wapi wew.....unadhanj mwanza ni kama kwenu huko chumbageni.
Karibu kwenye semina na training ya viongozi na wakurugenzi wa taasisi na makampuni
View attachment 3124897
Toka hapa na mauongo yakoMwanza ni Kama Bukoba hizo sehemu mbili zinawafaa waajiriwa wa serikali
Ila kwa mtafutaji deiwaka kuikamata elfu hadi ishirini sio jambo jepesi.
Kazi za uvuvi na boda boda boda ndo ajira kubwa huko.
Bukoba wahaya wengi wamekimbilia mwanza wanavua samaki na kuendesha boda boda
Umeishiwa hoja? Matosi ya nini🖕
Toka hapa na mauongo yako
ww ndio unayesema semina kubwa zimeisha ...kwa taarifa Yako mwanza imefanya zaidi ya convention ,semina na mikutano si chini ya 30 kwa mwaka huuUsifananishe sisi na wapumbavu , mimi ndio nakuambia sasa , waulize wenzie au tuhesabu seminar kubwa uone?
Viongozi wanachoma nyama huko , wewe unapiga domo .!
Njoo unipigeUmeishiwa hoja? Matosi ya nini
Eti wanafanana Kila kitu ...labda ukaribu na ziwa tu ..ila mengine yote bukoba kaifananishe na kigoma sio mwanzaJe ukweli ni upi mkuu
Mimi nimekaa hiyo mikoa yote miwili Bukoba na mwanza
Wanafanana kila kitu
Hata. EnjoyNjoo unipige
Ulikuwa mwanza maeneo GANI mkuu?,,usikute ulikuwa unakaa ukerewe,taja ulipokuwa unakaaJe ukweli ni upi mkuu
Mimi nimekaa hiyo mikoa yote miwili Bukoba na mwanza
Wanafanana kila kitu
Mamtu mengine bwana🤡🤡🤡Sahihi, nilishangaa sana yaani mji mzima saa 12 jioni kimyaa, ...