Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

Ulikuwa mwanza maeneo GANI mkuu?,,usikute ulikuwa unakaa ukerewe,taja ulipokuwa unakaa


Mimi nimekaa Bugando

Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k
 
Ndio maana bukoba ni mji wa kimaskini na umejaa mabanda kwa sababu wenyeji wa huko mna akili za matope kama hiv
Mwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa

Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.

Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba

Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.

Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.

Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba

Vijana wametelekeza wazazi wao

Wanaamini uchawi Sana

Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
 
ww ndio unayesema semina kubwa zimeisha ...kwa taarifa Yako mwanza imefanya zaidi ya convention ,semina na mikutano si chini ya 30 kwa mwaka huu View attachment 3124917
Mimi najua usiwe mbishi ,seminar kubwa 90% zimepangwa kufanyika Arusha . K
Screenshot (461).png
Screenshot (462).png
Screenshot (463).png
Screenshot (464).png
Screenshot (465).png
 
Mimi nimekaa Bugando

Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k
Labda mwaka 2005 ndio mwanza unayosemea
Kwanza mwanza ya kulinganisha na bukoba ya Leo ni mwaka 1992
 
Labda mwaka 2005 ndio mwanza unayosemea
Kwanza mwanza ya kulinganisha na bukoba ya Leo ni mwaka 1992


Angalia usafiri

Angalia maduka yanafungwa saangapi

Angalia GDP

Mwanza ni mkoa masikini ukifatiwa na Bukoba

Kule mwanza kupata elfu kumi sio jambo jepesi mzunguko wa hela hamna.

Kazi hamna

Wananchi wengi wanategemea uvuvi na boda boda we acha tu
 
Habari viongozi,

Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
Jiajir wewe acha kutegemea kuajirowa

Ajira kwa sasa hakuna mzee

Tatizo la ajira ni tatizo la kitaifa, vinginevyo nenda kwenye hiyo mikoa unayoamin kuwa na fursa za ajira
 
Mwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa

Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.

Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba

Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.

Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.

Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba

Vijana wametelekeza wazazi wao

Wanaamini uchawi Sana

Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
Kila sehemu ni nguvu kiufupi Mwanza imeuliwa , naongea hili kwa sababu nimekaa miaka ya 2018 mpaka 2020 , nimecheza sana seminars .

Pia, Mwanza usafiri wa ndege una nguvu sana, kuna abiria wengi kuzidi hata Arusha hapo kwa watu ndani sio wataliii ...Mwanza ni mji unatakiwa kuwa na muingiliano mkubwa sana , kitu ambacho kwa sasa sio rahisi .
 
Kila sehemu ni nguvu kiufupi Mwanza imeuliwa , naongea hili kwa sababu nimekaa miaka ya 2018 mpaka 2020 , nimecheza sana seminars .

Pia, Mwanza usafiri wa ndege una nguvu sana, kuna abiria wengi kuzidi hata Arusha hapo kwa watu ndani sio wataliii ...Mwanza ni mji unatakiwa kuwa na muingiliano mkubwa sana , kitu ambacho kwa sasa sio rahisi .


Huo mji tangia zamani hauna maendeleo ya kiuchumi

Nyie watumishi ni ngumu Sana kuelewa mambo ya Economic na purchasing power Ila wafanya Biashara wao wanajua.
 
Mimi nimekaa Bugando

Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k
Ilikuwa mwaka gani huo mkuu?,maana hayo unayoongea saivi hayapo
 
Angalia usafiri

Angalia maduka yanafungwa saangapi

Angalia GDP

Mwanza ni mkoa masikini ukifatiwa na Bukoba

Kule mwanza kupata elfu kumi sio jambo jepesi mzunguko wa hela hamna.

Kazi hamna

Wananchi wengi wanategemea uvuvi na boda boda we acha tu
Leta figure sio maneno matupu
 
Kwa hyo lengo lako unataka battle au .hoja Yako umesema Mwanza sa hv hamna semina nimekuletea semina unaanza kuleta habari za Arusha..sasa Mwanza tu hatuna international center lakin mikutano kama yote tukijenga je si ndio Kuna vijiji vitatia huruma
Wewe hujui unachotaka sio , nimekuambia kwa sasa haipewi kipaumbele hata seminars hazipo zimehamia Arusha ....Ni suala la muda ..Ule upepo kama jiji la pili umekata , ni wapi nimekuambia kuna battle?

Kuna barua 5 hapa ofisini , seminars zote ni Arusha kitu ambacho sio kawaida miaka ya nyuma , ingekuwa 3 au 4 ni Mwanza na Moro...Kiufupi srikali hii sio nzuri kwa upande wa jiji la Mwanza.
 
U
Angalia usafiri

Angalia maduka yanafungwa saangapi

Angalia GDP

Mwanza ni mkoa masikini ukifatiwa na Bukoba

Kule mwanza kupata elfu kumi sio jambo jepesi mzunguko wa hela hamna.

Kazi hamna

Wananchi wengi wanategemea uvuvi na boda boda we acha tu
Ungekuwa una thibitisha unacho kiongea Kwa data ingekuwa powa sana Kwa sisi wapitiaji
 
Kila sehemu ni nguvu kiufupi Mwanza imeuliwa , naongea hili kwa sababu nimekaa miaka ya 2018 mpaka 2020 , nimecheza sana seminars .

Pia, Mwanza usafiri wa ndege una nguvu sana, kuna abiria wengi kuzidi hata Arusha hapo kwa watu ndani sio wataliii ...Mwanza ni mji unatakiwa kuwa na muingiliano mkubwa sana , kitu ambacho kwa sasa sio rahisi .
Unataka kusema mwanza ya sasa hv imepoa kuliko ya mwaka 2018 ..
Kuna watu wengine ni factless kweli
 
Back
Top Bottom