DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ulikuwa mwanza maeneo GANI mkuu?,,usikute ulikuwa unakaa ukerewe,taja ulipokuwa unakaa
Mimi nimekaa Bugando
Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k