Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

Kwenu mbeya mna mikutano gan ..hata ya TYCS ,ASSA hampati ,😀🤡🤡🤡
Mbeya hatutegemei biashara za mikutano,kule tunavuka boda Zambia na Malawi na Mikoa mingine.

Mbeya ndio mzalishaji mkubwa wa Tumbaku,Dhahabu,pareto,parachicho,Kakao,Mpunga na mazao ya Kilimo Kwa ujumla.

Ukiangalia hii picha hapa utaelewa 👇👇
juma_zuberi_homera_1720609958796204.jpg
 
Mbeya hatutegemei biashara za mikutano,kule tunavuka boda Zambia na Malawi na Mikoa mingine.

Mbeya ndio mzalishaji mkubwa wa Tumbaku,Dhahabu,pareto,parachicho,Kakao,Mpunga na mazao ya Kilimo Kwa ujumla.

Ukiangalia hii picha hapa utaelewa 👇👇View attachment 3124994
Ukiangalia picha hii utaelewa mbeya kuliko makaratasi hayo
20241010_111100.jpg
20240923_195340.jpg
 
Angalia usafiri

Angalia maduka yanafungwa saangapi

Angalia GDP

Mwanza ni mkoa masikini ukifatiwa na Bukoba

Kule mwanza kupata elfu kumi sio jambo jepesi mzunguko wa hela hamna.

Kazi hamna

Wananchi wengi wanategemea uvuvi na boda boda we acha tu
wewe ulienda ng'hungumalwa ukadanganywa ndo Rocky City😂😂
 
Huu ni mwaka wa 13 toka ianzishwe manispaa ya Ilemala ambayo iko ndani ya jiji la Mwanza, muda wote huo hayo majiji yenu mnayoyasifia, kuyalinganisha na kuyaweka juu ya Mwanza yanakulia humuhumu jamiiforus tu 😂😂😂, na kwa kasi hii ya ukuaji wa jiji la Mwanza itazaliwa manispaa ya tatu ndani ya jiji la Mwanza huku majiji yenu ya jamiiforus yakiwa vilevile 😂😂😂
 
Habari viongozi,

Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
mlianza na dodoma saizi mmehamia mwanza😂😂😂
 
Yawezekana Pasikuvutie lakini kibongo bongo jiji la Mwanza sio lakubeza, Ajira Mwanza zipo nyingi labda kama unaangalia ajira za makampuni makubwa tu ila kwa upande wa Ajira za Kati Mwanza zipo nyingi sana, Angalia tu sector ya Usafirishaji Majini Mwanza kwenye top 5 ya Bandari zenye idadi kubwa ya Usafirishaji huwezi kuikosa anzia Mwanza South Mpaka Mwanza North Port, Usafiri wa Ardhini Mwanza kuna Bus zaidi ya 2,000 zinazoingia na kutoka, Usafiri wa Anga hapa hapajawa na International Flight nafikili nikukosa kwa hadhi ya kiwanja cha kimataifa lakin maajent wa makampuni ya Usafirishaji wapo, Sector ya Utalii inafanya vyema japo huwezi kulinganisha na miji ya kitalii kama Arusha na Zanzibar, Taasisi zipo japo hapafanyi vyema sana kulinganisha na mikoa yenye Shughuli za kiserikali ila zipo kama Bugando MC ambayo pekee inaweza kuwa imeajili watu si chini ya 200, Chama cha Ushirika Nyanza n.k pamoja na Taasis mbali za kanda ya ziwa, Viwanda hivi ni vingi kuna Nyanza Bottling company(Coke), SBL(Pepsi), Serengeti Breweries,TBL, Zongii kiwanda cha Plastic, Sayona Steel, Nyakato Steel, Mwatex, Vic Fish, Tan Fish, Nile Peach, Viwanda vya Magodoro, Viwanda vya Mafuta ta Pamba n.k, Taasisi za Elimu Chuo kikuu SAUT, CUHAS, MWANZA UNIVERSITY, na College kama DIT, PASIANSI Wildlife, TIA, MIPANGO, CBE, JEMA TECH, MAC WISH, IFM n.k. Uvuvi na Biashara za Mazao ya Ziwani, Makampuni ya Madini pamoja na Shughuli za madini,Hotels and Entertainment , hapo nimedadavua sector ambazo hazifungani sana na Serikali sasa ndugu wewe ulitaka ajira zipi tofauti nazitokanazo na Sector hizo?
 
Back
Top Bottom