ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Watu wa Mwanza mnatumia Nguvu kubwa sana kujibrand ila hakuna kitu hapo laizergMwanza ni jiji la kibiashara siyo jiji la kikazi
Mwanza nenda na mtaji tu utapiga pesa vibaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Mwanza mnatumia Nguvu kubwa sana kujibrand ila hakuna kitu hapo laizergMwanza ni jiji la kibiashara siyo jiji la kikazi
Mwanza nenda na mtaji tu utapiga pesa vibaya sana
Zilikuwepo maika kabla ya mzee , tumeenda sana hapo mwanza.Kwani lini Mwanza kulikuwa na semina? Hakuna hata kumbi za maana huko,viwanda vimehamia Shinyanga.
Nyie vueni dagaa tuu 🤣🤣
Siyo hasira mwanza bado sana sasa wewe tumefanya kukuza kuzidi daa. Mwanza inaizidi dar kwa vitu kama idadi kubwa ya wakulima, wingi wa baiskeli, milima na mawe.Nilijua tunajadiliana kumbe mwenzagu una hasira hivyo tena
Asante kaka
Hizo semina watu takaa juu ya mawe?Kwani lini Mwanza kulikuwa na semina? Hakuna hata kumbi za maana huko,viwanda vimehamia Shinyanga.
Nyie vueni dagaa tuu 🤣🤣
Mkuu upo mpanda?Bora Mbeya inategemea Kilimo na Biashara Kwa pamoja Kitombile
Yani idadi ya watu inaongezeka kwa kasi lakn uzalishaji hamnaMwanza kwa miaka ya hivi karibuni haikui
Inashangaza nini kimelipata jiji la miamba? Geita kuwa na soko lake la madini? Au ni shughuli za uvuvi kuyumba?Yani idadi ya watu inaongezeka kwa kasi lakn uzalishaji hamna
Mtaalam hiyo inatokana na hali ya uchumi wa mkoa , mwanza ikishafika saa tatu usikuWatu wa mwanza ovyo sana, maduka wanafunga saa 12 maji mzima, maduka wanafunga saa 2 asubuhi...
Da ata sielewi kwa kweliInashangaza nini kimelipata jiji la miamba? Geita kuwa na soko lake la madini? Au ni shughuli za uvuvi kuyumba?
Sahihi, nilishangaa sana yaani mji mzima saa 12 jioni kimyaa, ...Mtaalam hiyo inatokana na hali ya uchumi wa mkoa , mwanza ikishafika saa tatu usiku
Labda kwenye center kubwa yenye watu wengi ndio utakuta maduka wazi kwa kuwa wateja bado wapo lakini kwingine muda huo hamna wateja
Mwanza ni jiji la kibiashara siyo jiji la kikazi
Mwanza nenda na mtaji tu utapiga pesa vibaya sana
Watu wa mwanza ovyo sana, maduka wanafunga saa 12 mji mzima, maduka wanafungua saa 2 asubuhi...
Haters unatokwa na mapovu 😁😁😁Haaahaa 😂 🤣 unataka kusema mwanza ni likijiji likubwa lililo changamka Kama yule mwenzetu alivyo remark Jiji la mbeya.
Mwanza bwana Bado Sana kwa kweli
Ona hili ,🥺😜😜😜😜🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡Mwanza imekufa kifo cha punda hata semina zimekata , zote zimehamishiwa Arusha ....Mwezi huu tu semina kubwa zote zimefanyika Arusha .
🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡🤡Huna unalojuaMwanza kwa miaka ya hivi karibuni haikui