Mji wa Ukraine wa Soledar umetekwa lakini waliokufa wengi ni Warusi. Ipo vipi hii?

Mji wa Ukraine wa Soledar umetekwa lakini waliokufa wengi ni Warusi. Ipo vipi hii?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Jeshi la Ukraine pamoja na msaada mkubwa wa NATO linazidi kuishiwa nguvu na hata habari za mrejesho kwa wafadhili wake.

Mji umezingirwa tangu Agosti na hatimae warusi wawe ni kutoka Wagner au wapi lakini wamewatimua Waukreni kwenye machimboj ya chumvi yenye mapango mengi.

Cha ajabu UK ambaye amekuwa kama msemaji wa jeshi la Ukraine na Zelensky mwenyewe wanasema eneo lote hilo limejaa maiti za majeshi ya Urusi. Propanganda kama hizi hatimae zinawakatisha tamaa raia.

Habari kama hizi zilisikika sana Kherson,hata hivyo baadae watu baada kusubiri sana wakajua hakuna jambo.

AF1QipOstSCfm8X9wcmL4CjHcR_5_Xp7yiN6HkGAjYft=s1360-w1360-h1020
 
Tunakaribia mwaka sasa Nchi zaid ya 30 za NATO zimeshindwa kuisaidia Ukraine dhidi ya uvamizi wa Russia.

watu pekee waliofaidika na vita hii ni Egypt iliyopewa kandarasi ya kusambaza Mbolea Ulaya nzima kukabili uhaba uliotokana na Russia kusitisha usambazaji, na kundi lingine linalofaidika ni Mabepari wauza Silaha wa Kimarekani ambao wana inflate bei za bidhaa hiyo
 
Warusi wamechinjwa sana huko ,ndio maana Putin kaamua kumfuta yule kamanda mliyemuita Armageddon, kaona hakuna anachofanya zaidi ya kuwapeleka warusi machinjioni,

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Warusi wamechinjwa sana huko ,ndio maana Putin kaamua kumfuta yule kamanda mliyemuita Armageddon, kaona hakuna anachofanya zaidi ya kuwapeleka warusi machinjioni,

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Ukitumia akili vizuri bila kukaririshwa itakupa majibu ya kuwa, wanaokufa wengi vitani ni wale walio loose or walio win
 
NAOMBA KUELIMISHWA,
WAGNER WAMEWEZAJE KUTEKA ENEO LENYE MAPANGO NA HANDAKI ZA KITOSHA?
NIJIBUNI TAFADHARI.
 
Back
Top Bottom