Watu wanakufa tu wajane kibaoKweli Warusi ni wengi wamekufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2478109
Vipi, unataka kwenda kurithi ?🤣Watu wanakufa tu wajane kibao
Ukitumia akili vizuri bila kukaririshwa itakupa majibu ya kuwa, wanaokufa wengi vitani ni wale walio loose or walio winWarusi wamechinjwa sana huko ,ndio maana Putin kaamua kumfuta yule kamanda mliyemuita Armageddon, kaona hakuna anachofanya zaidi ya kuwapeleka warusi machinjioni,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kama yeye amekaririshwa, tuambie wewe unayekwepa risasi na mabomu huko fieldUkitumia akili vizuri bila kukaririshwa itakupa majibu ya kuwa, wanaokufa wengi vitani ni wale walio loose or walio win
Jibu swali usilete ujuaji hapa. Wanaokufa wengi vitani ni wale walio LOOSE au walio WIN?? Ni swali dogo tu ilo kama una akili timamuKama yeye amekaririshwa, tuambie wewe umayekwepa risasi na mabomu huko field
Unaona sasa ulivyo bwege? Nani kakwambia mimi nina akili timamu?Jibu swali usilete ujuaji hapa. Wanaokufa wengi vitani ni wale walio LOOSE au walio WIN?? Ni swali dogo tu ilo kama una akili timamu
🤣🤣🤣Unaona sasa ulivyo bwege? Nani kakwambia mimi nina akili timamu?
hii nayoo khaliRussia hajaanza kutumia majeshi yake
Unaelewa maana halisi ya neno "kama" lakini?Unaona sasa ulivyo bwege? Nani kakwambia mimi nina akili timamu?
Siyo yeye!Warusi wamechinjwa sana huko ,ndio maana Putin kaamua kumfuta yule kamanda mliyemuita Armageddon, kaona hakuna anachofanya zaidi ya kuwapeleka warusi machinjioni,
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app