Mjina matamu ya kike

Mjina matamu ya kike

Mahabat mbona jina la kiume hilo au wewe unavutiwa nayo?
 
Nimejikwaa na wala usifikiri nimedondoka ili uniokote kizembe..

Kul_mahabat ni jina moja hilo, wala usitake kulitenganisha mkuu!
 
Nimejikwaa na wala usifikiri nimedondoka ili uniokote kizembe..

Kul_mahabat ni jina moja hilo, wala usitake kulitenganisha mkuu!

we jamaa mbona unanilazimisha nilitaje lote ? huyu mdada yuko hum ni mtu wa media mno sio vizuri kuweka jina lake lote hum jamaa
 
Nimejikwaa na wala usifikiri nimedondoka ili uniokote kizembe..

Kul_mahabat ni jina moja hilo, wala usitake kulitenganisha mkuu!

Hiyo L nimeongezea ili usije ukahis ninazungumzi kipochi manyoya
 
Wakuu,

Polen na majukum yakusaka maisha, kuna kitu nimekiona hapa nimetaman kushare na wewe msomaji

Ilikuwa siku moja kabla ya Eid mida ya saa tisa unusu, natoka nafata gari car wash niko getin hamad ilisimama gari flan pemben yangu anaendesha dada mmoja mzuri nikisema mzuri ujue ni mzuri kweli on top of that ni very bright tho alinipa ride kama 5mn hivi ilikuwa very interesting talk

Kilichonipa ukakasi akilin sasa, kwenye kuagana tuliulizana majina na vitu kama izo, mdada anajina tosha Mahabat jina ni lizuri mdada ni mzuri msomaji bora hukuwepo

KUL MAHBAT i just missed you badly.........................
Shule zinafunguliwa tarehe 4 Julai 2017. I hope tutapumzika na topics hizi
 
Back
Top Bottom