Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Na hii imetokea kwa vijana wengi, wakiwa mikoani kelele ni nyingi sana mara watakwambia ukija mjini tutafutane angalau tubadilishe mawazo, mazingira, na tupeane fursa.
Sasa ukifika mjini, ukiomba muonane naye, chenga zinakuwa nyingi; mara leo niko bize nimetingwa na kazi, mara nimesafiri niko nje ya jiji,mara nitakuwa studio n.k wakati mwingine hata simu yako hawapokei wakishajua umewafuata mjini, sasa unajiuliza akiwa mkoani mbwembwe ni nyingi, ila ukifika mjini na kuanza kumtafuta anakupa sababu nyingi ili msiweze kuonana.
kwa mazingira hayo, kweli mjini hakuna urafiki, urafiki ni huko mikoani na vijijini ambapo mnaweza kuombana chumvi, vitunguu, majembe n.k
Sasa ukifika mjini, ukiomba muonane naye, chenga zinakuwa nyingi; mara leo niko bize nimetingwa na kazi, mara nimesafiri niko nje ya jiji,mara nitakuwa studio n.k wakati mwingine hata simu yako hawapokei wakishajua umewafuata mjini, sasa unajiuliza akiwa mkoani mbwembwe ni nyingi, ila ukifika mjini na kuanza kumtafuta anakupa sababu nyingi ili msiweze kuonana.
kwa mazingira hayo, kweli mjini hakuna urafiki, urafiki ni huko mikoani na vijijini ambapo mnaweza kuombana chumvi, vitunguu, majembe n.k