Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Kabsa kakaHahahaha akili mtu wangu
Sawa naomba wewe ideas ya kupga pesa klain bila kuwahusisha makundi hayoAcha ujinga huna Idea wewe
KalimeSawa naomba wewe ideas ya kupga pesa klain bila kuwahusisha makundi hayo
Na vijana tunaoogopa kufa hautusaidii?Wakuu sasa nimerudi mjini kutoka kijiji mbeya, hapa nina ideas kama 10 zikupiga hela za WATANZANIA kihalali bila kutumia nguvu.
Huku SOKO langu kubwa likiwa
1.Wazee wanaogopa kufa
2. Wamama watu wazima na mabonge
3. Wadada wasioshika mimba
4. Mambo ya homoni na hedhi (vbinti na vkaka vya 2000)
5. Wagonjwa wa saratani, kisukari na BP.
najua nyny(2000) mnakuaga na uti sugu, homon imbalance na ksonono, fungus na pidNa vijana tunaoogopa kufa hautusaidii?
W shamba lako lpo wap?Kalime
Njoo Tunduma upige mishe hizo zitakupotezea mdaW shamba lako lpo wap?
kwann nijitesa wakati SOKO rahisi lipo la wajinga wengi?Njoo Tunduma upige mishe hizo zitakupotezea mda
Umesahau nguvu za kiume
Mzee kama hujaelewa hapo nenda karesit form 4Tuliza wenge Mkuu kuandika ni rahisi sana hebu tuchambulie hata wazo lako moja linaloleta pesa kirahisi hapo
Jipange upya mzeeWakuu sasa nimerudi mjini kutoka kijiji Mbeya, hapa nina ideas kama 10 zikupiga hela za Watanzania kihalali bila kutumia nguvu.
Huku soko langu kubwa likiwa:
1. Wazee wanaoogopa kufa
2. Wamama watu wazima na mabonge
3. Wadada wasioshika mimba
4. Mambo ya homoni na hedhi (vbinti na vkaka vya 2000)
5. Wagonjwa wa saratani, kisukari na BP.