Mjini njoo na akili, pesa utazikuta

Mjini njoo na akili, pesa utazikuta

Soko la wajinga walishaliteka wamasai.
Na wewe Tafuta mbinu yako
Wamasai hawajaliteka kiasi hicho ni kama 5% tu ya soko, huku mwamposa na wenzake wakchukua 20% na tiba asili wengne ni 5% tu, huku idadi ya wajnga ikiongezeka kwa rate ya 5% kila siku kwa soko bado kuuuubwaaa sana niwewe na akili yako
 
Mipango sio matumizii, nakushauri Fungua kanisa upate makerubi wako.
Mbna utafaudu sana pesa za wajaa, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wamasai hawajaliteka kiasi hicho ni kama 5% tu ya soko, huku mwamposa na wenzake wakchukua 20% na tiba asili wengne ni 5% tu, huku idadi ya wajnga ikiongezeka kwa rate ya 5% kila siku kwa soko bado kuuuubwaaa sana niwewe na akili yako
Ukiachana na mwamposa. Unataka kunambia wamasai Wanapiga pesa
 
Back
Top Bottom