Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
- Thread starter
- #21
Nkajpange upya? nyie ndo mnakufa maskn kwa kutegemea mshahara wa kanjbaiJipange upya mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkajpange upya? nyie ndo mnakufa maskn kwa kutegemea mshahara wa kanjbaiJipange upya mzee
Soko la wajinga walishaliteka wamasai.kwann nijitesa wakati SOKO rahisi lipo la wajinga wengi?
Wamasai hawajaliteka kiasi hicho ni kama 5% tu ya soko, huku mwamposa na wenzake wakchukua 20% na tiba asili wengne ni 5% tu, huku idadi ya wajnga ikiongezeka kwa rate ya 5% kila siku kwa soko bado kuuuubwaaa sana niwewe na akili yakoSoko la wajinga walishaliteka wamasai.
Na wewe Tafuta mbinu yako
Pole sanaNkajpange upya? nyie ndo mnakufa maskn kwa kutegemea mshahara wa kanjbai
ASantePole sana
Kwann ustangaze?Fursa huwa hazitangazwi
M n kobaz hyo kaz swez fanya labda vjana wa papa ndo wafanyeMipango sio matumizii, nakushauri Fungua kanisa upate makerubi wako.
Mbna utafaudu sana pesa za wajaa, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiachana na mwamposa. Unataka kunambia wamasai Wanapiga pesaWamasai hawajaliteka kiasi hicho ni kama 5% tu ya soko, huku mwamposa na wenzake wakchukua 20% na tiba asili wengne ni 5% tu, huku idadi ya wajnga ikiongezeka kwa rate ya 5% kila siku kwa soko bado kuuuubwaaa sana niwewe na akili yako
Kwan nam nmesema ntatembeza kama masai? ungeulza ntafanya kwa namna gani na ukubwa gani kwanzaUkiachana na mwamposa. Unataka kunambia wamasai Wanapiga pesa
Kwan nam nmesema ntatembeza kama masai? ungeulza ntafanya kwa namna gani na ukubwa gani kwanzaUkiachana na mwamposa. Unataka kunambia wamasai Wanapiga pesa
Poleeee aseeeeh.M n kobaz hyo kaz swez fanya labda vjana wa papa ndo wafanye
kabsa ntakua nawatsha uwenda wana prostate cancer au begnin ili npge hela bureUmesahau nguvu za kiume hawana
Sema hl nalo ntalitazama kwa undani mbeleni mungu sio athuman!Poleeee aseeeeh.
Ukitoboa Nishtue niwe wakala wako wa kusambaza mikoani😎👍Kwan nam nmesema ntatembeza kama masai? ungeulza ntafanya kwa namna gani na ukubwa gani kwanza
Ukitoboa Nishtue niwe wakala wako wa kusambaza mikoani