Mjini njoo na akili, pesa utazikuta

Soko la wajinga walishaliteka wamasai.
Na wewe Tafuta mbinu yako
Wamasai hawajaliteka kiasi hicho ni kama 5% tu ya soko, huku mwamposa na wenzake wakchukua 20% na tiba asili wengne ni 5% tu, huku idadi ya wajnga ikiongezeka kwa rate ya 5% kila siku kwa soko bado kuuuubwaaa sana niwewe na akili yako
 
Mipango sio matumizii, nakushauri Fungua kanisa upate makerubi wako.
Mbna utafaudu sana pesa za wajaa, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mipango sio matumizii, nakushauri Fungua kanisa upate makerubi wako.
Mbna utafaudu sana pesa za wajaa, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
M n kobaz hyo kaz swez fanya labda vjana wa papa ndo wafanye
 
Wamasai hawajaliteka kiasi hicho ni kama 5% tu ya soko, huku mwamposa na wenzake wakchukua 20% na tiba asili wengne ni 5% tu, huku idadi ya wajnga ikiongezeka kwa rate ya 5% kila siku kwa soko bado kuuuubwaaa sana niwewe na akili yako
Ukiachana na mwamposa. Unataka kunambia wamasai Wanapiga pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…