Mjomba anawachukia watoto wangu?

Mjomba anawachukia watoto wangu?

Bakalalwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
748
Reaction score
1,217
Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,

Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.

Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!

Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.

Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.

Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
 
Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,

Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba Kuna situation naipitia Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa Nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani, changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!

Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu Mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto Mimi pia nikakuthamini, Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza Namuomba sana MUNGU kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua Sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye ,

Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu
Ungekua bayana tatizo lako ni kazi au ushauri kuhusu mjomba wako anae chukia watoto wako?
 
"Katika vitu sikubaliani navyo ni kuwa siku inabadilika ifikapo saa sita usiku"
 
Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,

Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.

Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!

Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.

Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.

Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Mkuu watoto wanasoma wapi?
 
Pole sana, japo kununa sio tafsiri ya chuki kwa mtu, hebu jaribu kutafuta ushahidi kununa sio chuki pengine una stress za maisha sana
Mimi ni kijana mkuu najua mema na mabaya huwezi kumkuja shati mtoto wa miaka miwili ameita bafuu kumbe ameita Babu we unasema amekuita pumbavu nilipandwa na hasira basi tu, na Wala sikumwambia chochote nae anajua nimechukia roho haipo kabisa ata ya utu kwake
 
Back
Top Bottom