RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kwahio mkuu na mama yako pia alirudisha mpira kwa kipa?Ni upande wa ujombani mkuu kwao na mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio mkuu na mama yako pia alirudisha mpira kwa kipa?Ni upande wa ujombani mkuu kwao na mama
Bado mpaka mwaka kesho mkuuMkuu watoto wanasoma wapi?
Hapana ila ipo kidogo hapo hadithiKwahio mkuu na mama yako pia alirudisha mpira kwa kipa?
Mjomba nahisi atakuw shoga tuHabari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,
Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.
Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!
Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.
Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.
Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Sina ujuzi ila kazi yoyote naweza Fanya ikiwa sijui ukinipa maelekezo nafanyaUna professional gani? Au unaweza kufanya kazi gani?
Sio hivyo mkuu ila cha muhimu mwenye chake unachana nae na sisi tutafute chetu tu!?Mjomba nahisi atakuw shoga tu
Sina kwetu mkuu baba yangu namjua kwa sura tu, napambana nami niwe na changu mkuu Sina muda nae kabisaPole sana wewe hauna kwenu?namaanisha kwa baba yako
Mkuu,Ungekua bayana tatizo lako ni kazi au ushauri kuhusu mjomba wako anae chukia watoto wako?
Usimchukie mjomba kwa kukuchukia kwani bila mj.kufanya hivyo utazubaa SanaHabari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,
Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.
Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!
Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.
Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.
Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Ndio mkuu uko sawa, Huwa najaribu kuwaza muda mwingine kwa akili za ajabu yani ata Leo nimepata makazi paapu huyo napotea😪Usimchukie mjomba kwa kukuchukia kwani bila mj.kufanya hivyo utazubaa Sana
Hapo iambie akili yako ifanye kitu ili mjoba aje akuheshimu baadae
Uko mkoa ganiSina kwetu mkuu baba yangu namjua kwa sura tu, napambana nami niwe na changu mkuu Sina muda nae kabisa
Nilikuwa kwenye mashine ya kusaga mkuu mi kwetu ni Kanda ya ziwa mkoa maraUko mkoa gani
Na kabla ya mambo hayajaenda kombo ulikua unafanya kazi gani
Kweli wewe siyo mwandishi mzuri, ila jitahidi ueleze uko wapi na kwa sasa unafanya nini hàta kama unauza kashata na kasusi sema ili tukushauri kwà hayo mazingira unaweza kufanya nini au labda ni jirañi yetu tukusaidie.Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,
Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.
Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!
Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.
Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.
Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Ni wajinga tu ndo wana amini hivyo. nisawa na kusema saa6 iwe saa12 mtu anakubali pamoja na elimu yake."Katika vitu sikubaliani navyo ni kuwa siku inabadilika ifikapo saa sita usiku"
Kwanini ujaenda kwenu kwa baba na mama yako, mjomba yupo kwao na wewe nenda kwenu.Ni upande wa ujombani mkuu kwao na mama
Pole sana,pambana huku ukimuomba MunguSina kwetu mkuu baba yangu namjua kwa sura tu, napambana nami niwe na changu mkuu Sina muda nae kabisa
Hawa vijana umaskini wana utafutaga wenyewe.Umasikini ni m'baya sana.