Mjomba anawachukia watoto wangu?

Mjomba anawachukia watoto wangu?

Mjomba ndo kwao mkuu
Shida iko hapo,
Hapo siyo kwenu ijapo hailalishi ukatili wa mjomba wako. Huenda mama yako alikuwa mtu asiyeshaurika na pengine ktk kukulea wewe alikuwa mjuaji zaidi kuliko kuzingatia ushauri hali ambayo ambayo yeye hakutaka yakutokee hayo ila mama akawa mbishi pengine na wewe ukampuuza mjomba. Sasa hapo siyo kwenu,ni kwao mama yako na hata hao watoto wako hawana undugu na huyo mjomba wako.
 
Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,

Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.

Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!

Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.

Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.

Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Aisee
 
Daah, Mkuu naona hujanielewa Mkuu Etugrul Bey


Kimsingi maisha Kama maisha Ni fumbo Yana Siri Sana.
Maisha si fumbo.

Hizi ni mentality mlizo jiwekea kichwani zisizo na uhalisia wowote ule
Unaposema ulifanikiwa Bila kusaidiwa na mtu na ukatoboa hiyo isiwe assumptions yako kuwa kila mtu anaweza kupambana Bila kushikwa mkono na akafanikiwa.
Kwa hiyo unasubiri uje ushikwe mkono ndipo ufanikiwe?

Kwamba usiposhikwa mkono hautafanikiwa?
Huyo mtoa mada kabla hayajamkuta alikuwa yupo vizuri that's why akaona ajenge familia. Kilichomkuta Ni sehemu ya maisha ambayo haya ww yanaweza kukuta muda wowote na wakati wowote.
Kama alikuwa yupo vizuri, Kwa nini arudishe mpira kwa kipa?
Kumtukana na kum,beza sio busara Zaidi ilibidi umtie moyo WA kupambana Zaidi ili atoke apo alipo sasa.
Hauhitaji kutiwa moyo ili upambane.
Kichwa chako lazima kijiwekee mentality ya kupambana muda wote ili usianguke kiuchumi.
Kuwa Kwenye wakati mzuri Kwa sasa kiuchumi haimaanishi utakuwa ivyo miaka yote hata Kama unafanya juhudi za makusudi kuepuka kuanguka kiuchumi badae.
Sikweli. Sio matajiri wote wana anguka.

Matajiri wengi tu wanazidi kuwa matajiri na maskini wengi tu wanazidi kuwa maskini.

Baadhi ya matajiri wananguka na vivyo hivyo na maskini wanazidi kuanguka kwenye umaskini wao.
Maisha Ni fumbo Mkuu, punguza kubeza walioanguka sababu Kwenye maisha Kuna kukosea, kujifunza na kunyanyuka upya.
Maisha sio fumbo. Maisha ni mikakati na mipango.
Ww kuwa na nguvu ya kiuchumi Kwa sasa sio sababu ya kuwabeza wengine na Sina hakika Kama utaweza kujua kila kitu na kila mbinu ya kuendelea kuwa ulipo hapo Leo.
Hakuna mtu aliyebezwa. Hapa tuna elezana uhalisia wa maisha ulivyo.
Zaidi Sana muombe Mungu Mkuu, binadamu pekee yake hawezi kufanikiwa Kwa kila kitu na hata kujua yajayo.
Huyo Mungu hayupo na hajawahi kuwepo kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana hata mleta mada licha ya kumuomba sana huyo Mungu amsaidie,

Mungu huyo Kashindwa kumsaidia mpaka amefikia hatua ya kuja kwetu sisi binadamu wenzie tumsaidie ushauri na mawazo.
 
Maisha si fumbo.

Hizi ni mentality mlizo jiwekea kichwani zisizo na uhalisia wowote ule

Kwa hiyo unasubiri uje ushikwe mkono ndipo ufanikiwe?

Kwamba usiposhikwa mkono hautafanikiwa?

Kama alikuwa yupo vizuri, Kwa nini arudishe mpira kwa kipa?

Hauhitaji kutiwa moyo ili upambane.
Kichwa chako lazima kijiwekee mentality ya kupambana muda wote ili usianguke kiuchumi.

Sikweli. Sio matajiri wote wana anguka.

Matajiri wengi tu wanazidi kuwa matajiri na maskini wengi tu wanazidi kuwa maskini.

Baadhi ya matajiri wananguka na vivyo hivyo na maskini wanazidi kuanguka kwenye umaskini wao.

Maisha sio fumbo. Maisha ni mikakati na mipango.

Hakuna mtu aliyebezwa. Hapa tuna elezana uhalisia wa maisha ulivyo.

Huyo Mungu hayupo na hajawahi kuwepo kusaidia kitu chochote kile.

Ndio maana hata mleta mada licha ya kumuomba sana huyo Mungu amsaidie,

Mungu huyo Kashindwa kumsaidia mpaka amefikia hatua ya kuja kwetu sisi binadamu wenzie tumsaidie ushauri na mawazo.
Ninakuelewa sana.
 
Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,

Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.

Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!

Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.

Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.

Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Tatizo watoto wako watundu sana ww umewalea kimayai kuvuluga vitu ovyo ndo ukajua watafanya ivyo kwa watu wote chief siyo kweli ukitaka kuwalea kimayai ishi nao kwako hata nyumba ya kiza kumbuka mtoto ni wa ulimwengu siyo wako peke yako ndo maana tunasema asiyefunza na ***** ulimwengu utamfunza
 
Matrilineal Society hao
Nimesima coment yake moja hapo juu,mama yake ni single mother,alitekekezwa na baba yake,hili ni funzo kwetu ,tukitelekeza watoto wanatesrka ,wanakosa address
Tutulie na wake zetu
 
Ninakuelewa sana.
Watu wengi sana wanazaa watoto kabla ya kujijenga kiuchumi halafu wanafikiri kuna mtu atakuja kuwaonea huruma na umaskini wao.

Maisha lazima yawatwange kisawasawa mpaka pale akili zitakapo funguka.

Kabla mtu hajaleta kiumbe kwenye hii Dunia ahakikishe ana uwezo wa kuja kutoa huduma zote, Sio kuja kutia tia huruma kutaka msaada.
 
Wewe,mkeo na mjomba mnaishi kwa mama yako? Kama ndiyo, bado ondoka haraka kwa dada yake mjomba. Mnambana dada yake
 
Habari za Jumapili ndugu zangu kaka/dada zangu wote kwa ujumla Natumaini mmeamka vema, Mimi pia mzima,

Sawa Mimi sio mwandishi mzuri Wala mwandikaji ila lengo la Uzi ni kwamba kuna situation naipitia. Nina watoto kadhaa nipo pia na mama yao, hapa nyumbani baada ya maisha kuwa sio sawa kidogo nikarudisha Mpira Nyumbani.

Changamoto zipo hazikosekani ila ndogo ndogo ila kubwa ni hii mjomba anachukia watoto wangu na hiki kinaniuma sana!

Watoto wanaweza kuwa wanacheza nje ya uwanjani wakimuona basi wanakimbia ndani kuja kwangu au kwa mama yao, yani muda wote amekasirika amenuna nuna tu mimi tukionana namsalimia tu basi imetoka maana huwezi kuchukia watoto mimi pia nikakuthamini.

Hali yangu ni mbaya sana hasa kiuchumi ni kazi ndogo ndogo za kubangaiza namuomba sana Mungu kila siku angalau nipate kwangu nitoke hapa naumia sana naona yani anafanya yote kwa sababu anajua sina pa kwenda, ndugu zangu mnisaidie mawazo, ushauri ata kama kazi nifanye.

Niwatakie Jumapili njema Ndugu zangu.
Ilikuwaje hadi ukawa mpumbavu kuhamia upande wa mama yako? HAPO SIO KWENU HAMA HARAKA SANA.
 
Boss kwakuwa umejipata usione hakuna kukwama katika maisha hilo ulitambue

Maisha ni milima na mabonde,kuna ambao hupita mlimani tu na kuna ambao hukutana na mabonde,kwahiyo narudia tena usiowaone wajinga walio kwama kimaisha na wala usiwaone ni wazembe,hakuna anayependa maisha mabaya

Ila siku zote maisha hayatupi tunatochaka ingawa tunatamani iwe hivyo
Vigumu kupata mtu atakuja kukusaidia kwa mipango yako iliyokufa kisa "maisha ni milima na mabonde" sasa mabonde yako yanamsaidia nini mtu baki?
 
Sina ujuzi ila kazi yoyote naweza Fanya ikiwa sijui ukinipa maelekezo nafanya
Wewe ni miongoni mwa maskini wengi mliokimbilia kuoa na kuwa na watoto huku mkitegemea bahati kwenye kuwatunza. Watu kama nyie inatakiwa mpewe adhabu kali sana kwa huo upumbavu mlio nao. Hakuna mtu wa kukuonea huruma hapa JF na nje ya JF. Beba msalaba wako. Unatia hasira kinyama wewe bwege.
 
Wala sihitaji unione niko sahihi.

Ila nakwambia hivi, Umaskini hauna bahati mbaya. Umaskini unatokana na uzembe na mipango mibovu.

Sio uwe tajiri, Bali uwe na uwezo wa kuhudumia mahitaji ya familia yako kwanzia makazi, chakula, elimu na mahitaji mengine yote ya msingi.

Kabla ya kuleta kiumbe duniani hakikisha utaweza kukihudumia, Sio kuja kutia tia huruma kutaka msaada wa watu wengine usaidiwe.

Hakuna aliye kusaidia kuleta watoto duniani. Vivyo hivyo usitegemee uje usaidiwe kulelewa watoto wako.
Hawakuandikiwa barua na hao watoto wawazae. Nakuunga mkono 100%.
 
Watu wengi sana wanazaa watoto kabla ya kujijenga kiuchumi halafu wanafikiri kuna mtu atakuja kuwaonea huruma na umaskini wao.

Maisha lazima yawatwange kisawasawa mpaka pale akili zitakapo funguka.

Kabla mtu hajaleta kiumbe kwenye hii Dunia ahakikishe ana uwezo wa kuja kutoa huduma zote, Sio kuja kutia tia huruma kutaka msaada.
Nilizingatia sana mpaka nilipofikisha 31 ndipo nikamleta Mtanganyika mpya nikiwa na utulivu kiakili na kiuchumi.
 
Ni upande wa ujombani mkuu kwao na mama
Huko sio kwenu man!!?

Hakuna urithi wako huko ndio Maana jamaa kakunja ndita!!!

Nenda kwa baba mwambie nimekuletea wajukuu halafu Ganda hapo hapo Hanna kuondoka!!

Pole sana man!
 
Back
Top Bottom